Mshenzi mkubwa ww umeona wapemba na watanga ndio mashoga? kuwa na adabu na usitaje makabila wala rangi za watu. ww mwenyewe unaonekana huna adabu mshenzi mkubwa.
ilikujikomboa na umaskini kuwa mjasiria mali hata hilo nalo hufahamu na kampeni zimejaa tele. Badilika kuwa mjasiria mali ukitegemea raisi akuletee pesa hutapata ng'o.
Thinks twice,
Slaa want to bring violence because he has to do like what Shujaa Seif Sharif did, he won but he decided not to compete which may cause killlings like previous years. Open your eye Bro/SIst
Wakati rais jakaya mrisho kikwete anahojiwa na waandishi wa habari wakati wa kampeni 'live-itv' alisema:
"kama kila chama kina mawakala wake vipi kura zinaibiwa?"
ukiona hivo ujue hao mawakala ni bomu(hawafai) wana njaa hawajawezeshwa ipasavyo.
Chadema kubalini kushindwa nchi iwe na amani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.