Mungu aliruhusu mtumishi wake Ayoub ajalibiwe.
Wakati mwingine majaribu hayana budi kuja ili kuzipima imani zetu kwa Mungu mwenyezi.
Na tunapoomba asitutie majaribuni tunamaanisha sisi ni dhaifu atuzidishie imani
Kutunza pesa kunaanza na vipaumbele vya malengo uliyojiwekea.
Kama huna malengo pesa haiwezi kutunzika.
Anza na malengo kisha weka mkakati wa kufikia malengo yako kupitia chanzo chako (mshahara)
Malengo ya muda mfupi na muda mrefu yoote yawe na % kadhaa inayokuwa fixde
Kusini sijui kuna nini? Kila kusini ya nchi yoyote ndio wananchi wake huwa masikini.
Tanzania.
Sudani
Uganda
Kenya
Malawi
N.k
Mikoa yake ya kusini ni masikini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.