Bwana malecela unafaa kuwa great thinker, maana haubishi bali unatohoa hoja na kujibu hoja, kwanza lazimatulitanbue hili la kuwa hero ktk group ya watu flani na bogus kwa wengine, siku zote huwezi kujumlisha kila siku ili tupate alama ya = ktk hesabu ni lazima matendo yote yakamilike,hata same...
hizi kashfa sas zimezidi, mbona inonekana ni za CCM pekee, hapa Arusha , inasemekana , lowasa alikuja ampe lema mkwanja aishie, lakini akachomoa, cha ajabu mitrani wafuasi wa lema wanakiri kuwa huyu dogo yupo for money ila angepokea kwa sasa wangemuua wanavyodai na kitisho hicho ndio...
mmeshindwa jamani acheni kucook facts, hii forum inkuwa powed na upinzani nini, watanzania wenyewe kwa hiyari yao wamempa mkere acheni kutuyumbisha nyinyi, I call upon all Tanzanians to be one after the swearing party of the best man of our land.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.