Wanaume bwana!! Mmmmmm!!! Sababu 1. alihisi/ na bado anaendelea kuhisi mtoto huyo si wake! Alafu km kulikuwa na mvutano baina yao ameamua kwa makusudi kufanya hivyo. ( mama itabidi afunguke vizuri)
2. sababu za kishirikina ( apnde cheo, apendwe na watu na wamteyemekee km Mh
Magufuli nk.. I...
Upopo una raha saaaana!!!Dawa ya mama mkwe ni vitenge tuuu akija Kurembea uau kutibiwa mpe kuku samaki na nyama tuu( akifika kwake km ana gubu anaanza kuwaambia watu kuwa mkwewe kamuachia njaa wao wanakula kuku tuu wakati Yy wanakula maharage na njegere) ! Na mwezi usiishe km mwanae yupo vizuri...
Upopo una raha saaaana!!!Dawa ya mama mkwe ni vitenge tuuu! Na mwezi usiishe km mwanae yupo vxr ampe hata ya bili ya maziwa.. Japo hawariziki!! Oiiiii!!!!iyaaaaaa!!!!!????
Pole mgonjwa/ muuguzaji.. Nimejikuta nikitoa tabasamu pana sana baada ya kusoma post kuwa ina picha lakini niliposoma comments ndo hoi kabisaa!! Nenda hospitali ukatibiwe mwaya.
Hakuna shida hapo jamani Nina mtoto wa kiume.. Nahisi inategemea na wingi wa mkojo na force yake! Yaani mkojo kidogo haurushi mbali lakini ule mwingi unakuja na force akikojoa unaona mkoja una speed kubwa( kwa saizi yake).. Mimi siyo doctor.. Maneno / mawazo yangu yanaweza kukosolewa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.