Habari zenu wana jf, naombeni msaada wenu wa kimawazo katika hili. mimi ni mjasiriamali nina stationery nimepanga sehemu ambayo ina nyumba kubwa ndani. kutokana na ukubwa wa nyumba na wingi wa wapangaji kukatokea mgogoro kwenye ununuaji luku ila kwa kuwa mimi mfanyabiasha inabidi niwe na umeme...
unahama baada ya uchaguzi, chadema ni kuti kavu hilo maneno mengi matendo sifuri, mbona kenya waliwasha moto mpk dunia iliwasikia. TUNATAKA MATENDO SI MANENO.
si kwamba naisapport CCM, ila asiekubali kushindwa si mshindani hata kama kura zimechakachuliwa swali, je zimechakachuliwa za chama kimoja cha upinzani au vyote? je kura zilizochakachuliwa zingemuwezesha Dk slaa kunyakua kiti cha urais? je wamechakachua kura za TZ bara tu? kwani zanzibar...
habari zenu wana jf, mimi ni kijana nimeamua kujiajiri natafuta fremu ya kuanzisha stationary iwe maeneo karibu na chuo chochote- dar. naombeni msaada wenu, asanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.