wewe nawe mtoto wa diwani ama?kila mtanzania an haki.ya kufuatilia wilaya yoyote...kijiji chchte...mjinga mkubwa...kama anadanganya seme....mwehu weeee!
Wana JF
Mtumishi wa serikali ndugu ezekiel maige anakopa dola 200,000 bila kusema nini kimewekwa rehani kwa kazi ya ubunge wa miaka mitano..haijulikani alipata wapi zingne 210,000 na kuamua kununua nyumba...tena isiyo ya biashara.Maana yake hakuna rejeo katika hyo investment.
Maige anadai...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.