wadau bado hajaelewa kilichoendelea huko sege dansi?ni aibu tupu yaani kama itabainika kuwa mpendazoe kakitoa chama muhanga iatabidi atupwe baharini ni jiwe afungiwe shingoni
Jamini nasikia ndicho kilichotokea segerea eti mpendazoe kakubali kumpa kiti nyangau makongoro kweli watu hawana uchungu na nchi yao safi sana nyamagana sio poowa mtu kupewa dhamana na wananchi halafu wewe uuze utu.
Asante sana kwa taarifa za kusikia huko mbeya vijijini ni jambo la kumshukuru Mungu kama panatia matumaini ya kushinda maana tumechoshwa na serekali na mafisadi haw wanaoenda Ikul na kujichukulia chao mapema.bado CHADEMA TUKO JUUUUUUUUU JUUUU ZAIDI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.