Hii ni nzuri, angalau imefanya uchambuzi wa kina kuhusu Karagwe. SISI Abakaraza ba Kasheshe tulikuwa karibu sana na Omukama Rumanyika hasa kwenye kutoa miongozo ya utawala. Babu zetu walikuwa watumishi wao wa karibu. Binafsi nimemwona na kumshuhudia omukama wa mwisho bwana Cosmas Rumanyika...
Ambacho mabinti wanatakiwa kustuka , ni kwamba wengi wataolewa na bodaboda, wafanya biashara, ukibahatika mwanasiasa, kwa sababu wasomi hawana ajira, hivyo atakwambia nisubiri nipate kazi , utazeeka unamsubiri
Lakini pia kumbuka binti mzuri ni miaka 22,23,24,25.
Kwa mliofika chuo kikuu basi...
Uko sawa sipunguzi siongezi neno... hawajui kuzisoma ht nyakati zao wenyewe.. wengi hupendelea kuambiwa ' how young are you ' na sio 'how old are you'..hujiona bado bado tu...wataalamu wa kuchagua bila kuchunguza...wako bizeee na make up kila siku..huku kioo kikiendelea kuwadanganya! Make...
Early this year, when president Magufuli declared a ban on mineral concentrates export, very few people took this cautiously. Only Acacia reacted to the order. No one ever expected a matter to escalate to this level today because this was just the beginning. The order was followed by the...
Day one tu ushakuwa bebi, hata b4 u bkum one, ataanza unajua kifursuhi changu kinakaribia kuisha, naomba niunge beeebi, mara hivi, ukikubali tu.. kwishney. Sasa bebi kuna mzigo nimeagiza afu nanii alisema atantumia hela kesho, so naomba afu hamsini nilipie then ntakurefund kesho..nyoooo...
Maswali kwa Lowassa:
1. Ukiwa Arusha Ukiomba kuchaguliwa kuipeperusha bendera ya CCM kama mgombea Urais wa JMT,uliongea yafuatayo mbele ya halaiki " CCM imefanya mambo mengi makubwa sana na mazuri sana chini ya uongozi wa Rais Kikwete. Rais KIKWETE amefanya kazi nzuri sana hadi anapoondoka...
Hivi kwa nini msubirie wakati huu ndio muibue hizi kashfa? Kwanini sio Januari au Februari au huko nyuma? Ni woga ama..... Leta data za msafi pia, sio kila siku mnaleta matatizo tu! Wananchi wanachoka na pia hawatawapima viongozi bora kwa kuibua kashfa tu.... na hakuna atayeiona ikulu kwa...
The outgoing government has been detriment to the power related scandals involving Tanesco at large. It has gone further to the multi-reshuffling of the cabinets.
Why has this been the case? Should we expect more similar and serious problems related to this as far as we have many multi-...
Wahenga wanasema: Kama hujui kufa, angalia kaburi. Ukiangalia hali ya maisha ya Dar es Salaam na hasa wakazi wa Gongo la Mboto na vitongoji vyake katika saa 24 zilizopita, unapata picha halisi ya gharama za uvunjifu wa amani na ama kutokuwa na amani kabisa katika jamii. Huu mstuko wa saa 24...
Nimekuwa nikimwona Mzee Mengi kuwa ni mzalendo halisi lakini sasa naanza kuhofu kuwa kuna maslahi anayafukuzia katika biashara zake. Iweje mtu anayeonyesha uchungu kama tunavyomwona kwenye vyombo vya habari aanze kudictate kitu gani kiripotiwe wakati media kazi yake ni kuelimisha kupitia habari...
Wewe ni kachero wa Chama Cha Mafisadi? (Simaanishi CCM lakini..) Hivi mtu mpumbavu akisifiwa kuwa ni mwelevu na ana akili unaelewaje? Utakuwa na akili ghafla simply bkoz umeambiwa una akili?
Mara ngapi tumesifiwa kuwa tu mfano wa kuigwa na uchumi unapanda? Unajua kuwa wenzetu huwa wanaishia...
Hii sio kali tu bali pia ni KUBWA KULIKO!!! Lakini haina tofauti na kauli za viongozi wengine wa kiafrika hususan Tz ambao huwa wanawakusanya vibaka na omba omba na kuwasweka ndani wakati wa ujio wa viongozi wa mataifa mengine hasa ya magharibi. Sina uhakika kama ndio "kufunika kombe ili...
Nadhani mjadala huu wa kujiunga kwenye jumuiya hii umeharakishwa mno. Sababu hata hii tume ya kuratibu maoni ya wananchi inafanya kazi mbili kwa mara moja. kuwaelezea watu nini jumuiya ya afrika mashariki halafu kuwa shawishi. ni sawa na kumfundisha mwanafunzi somo jipya na baada ya saa moja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.