Hapo kwa kwenye kuichafua taswira ya Raisi napingana na wewe...Raisi anafanya maamuzi yake mwenyewe na alishasema hashauriwi na mtu...Kwahiyo Makonda Ana yake na Raisi Ana YAKE wote ni waraabu wa Pemba
Nimeshuhudia watanzia wakiandamana kwa amani kea zaidi ya masaa matatu bika kuleta fujo Wala vurugu zozote. Je, vurugu tulizokuwa tunaziona kila wapinzani wanapokutana zilikuwa zinatengenezwa na Daudi Albert Bashite?
Je, Kuna haja ya KUMPA pongezi za kipekee bwana Abubakar (Mkuu was mkoa wa sasa)?
Najiuliza hili swali Wala sipati majibu. Polisi wanajua kabisa kwamba, ni haki ya CHADEMA kumpokea mtu wao kwa AMANI na kwa namna wanavyotamani na Wala haiwezi kwa namna yoyote kuwa chanzo Cha vurugu.
Kinachonipa shida moyoni ni kwanamna gani polisi ambao badala ya kulinda RAIA na MALI zao...
Nina maswali moyoni majibu sina;
Kwanza tuliambiwa dawa inatibu Corona lakini Jana tumeambiwa inafubaza hii inamaanza gani?
Sio kwamba hawa jamaa wanatuchezesha kama babu wa kikombe ilo mradi wapate pesa za kupigana na Gonjwa Corona??? Inamaana sisi tunapunguza bajeti zetu za kupambana na...
Kuna msemo wangu sungura mjanja kala nyama yake na ya fisi....Naona kama kuna mjanja mmoja Tanzania amefanikiwa kuthibiti matokeo ya Corona kuwekwa wazu.....kwanza nani atangaze ili hali aliyepima katumbuliwa?
Kama Corona haipo, basi aproach hii iyafanikiwa na itakua bonge la sifa kwa...
Acha upotoshaji..mtumiaji anaweza kuagizi kutokana na specifications zake na bado ikatengenezwa feki...ndo maana kuna mamlaka za kukagua ili kukidhi viwango vya mtumiaji....zikisema kiko sawa basi yeye anapokea na kutumia ..kwahiyo unataka kutambia TBS iko kwaajili ya nini?
Kwanini kila kitu nchi hii lazima wanasiasa ndo wanaumiza wataalamu..wanawapangia cha kusema wanawapingia cha kufanya....where are we heading as a nationa?
Mh Ummy, nakuhakikishia Mungu yupo hilo lielewe kabisa.. Najua kama binadamu unafanya mambo ili kumfurahisha anayekupa ugali na tabasamu, ila tambua Mungu alisema, AMELAANIWA MTU YULE AMTEGEMEAYE MWANADAMU na KUMFANYA KUWA KINGA YAKE.
Hivi tujiulize tu, hao watu wanaokufa na kuzikwa usiku...
Usilazimishe kila mtu ashikiwe akili kama wewe...watu wa kaliba yako ndo chanzo cha umasikini Tanzania. Mimi nimeuliza swali na inaonekana kwako limekua gumu sana kung'amua unaanza kuleta porojo hapa...Jipu swali kama huwezi angalia sentensi yangu ya mwisho kwenye mada.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.