Jamani inaniumaa kukosaa haki yangu ya msingi kutopiga kura,, mbona sisi wa mikoani hasa tunaosoma vyuo Dar es Salaam tumetengwa.
Mfano mimi wa Bukoba nilikuta washamaliza zoezi la kujiandikisha.
Mwenye idea kidogo kama kuna utaratibu mwingine wa kufanya ili kujiandikisha anisaidie maana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.