Mbona watu wanatoa taarifa ambazo si za kweli. hii siyo sawa. Mara halima Mdee kashinda ghalfla tena kashindwa, mara Mpendazoe kashinda te na comfermed mara bado! mbona tunachnganyana aesee.
Naomba sana tujue ya kuwa mapinduzi haya makubwa yanayoendele kutokea sehemu malimbali kwa wabunge wa CHEDEMA kupta ktk majimbo mbalimbali ni kwasababu ya SHUJAA mmoja ambaye alikubali kwenda MISRI (EGYPT) na kututoa utumwani na kutuonyesha KAANANI. sasa KAANANI yetu ni TAnzania na Bungeni ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.