Msingi wa kwanza wa uimara wa chama ni wanachama wake. CCM tunajivunia kuwa na idadi kubwa yawanachama wapatao takribani milioni 9. Ingawa sidhani kama takwimu hizi zipo "updated" kwa maana kwamba sina hakika kama CCM tunayo kanzi data ya wanachama wetu na kama ipo basi siyo "active". Nasema...
Mradi wa Bandari ya Bagamoyo ni wa kupongezwa. Wanaoupinga wana sababu zisizokuwa za msingi. Ikumbukwe pia kuna mafisadi Bandari ya Dar es salaam ambao inasemekana walishajipatia mikataba ya kifisadi ya miaka zaidi ya 25. HAKUNA KURUDI NYUMA.
Zanzibar Dr. Shein ni MKEMIA na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania atakuwa Dr.Magufuli ambaye ni MKEMIA. Not just coincidence, bali ni mipango ya MUNGU.
Huwa napatwa na ukakasi kusikia kwamba Ikulu ni mahali patakatifu. Utakatatifu ni zaidi ya heshima. Utakatifu unahusiana na Imani ambapo lazima yawepo mawasiliano ya ki- Imani kupitia maombi kati ya mwombaji na Mwenyezi Mungu.
Mahali patakatifu ni sehemu ambayo kupitia maombi miujiza inaweza...
Kwa wale tu wapenda mabadiliko yenye tija, kilichobakikwa sasa ni kuendelea kumwombea afya njema Dr. John Joseph Pombe Magufuli (MKEMIA), ili MwenyeziMungu amfikishe kwenye kilele cha ndoto yake ya kuwa RAIS wa awamu ya 5.
Dalili zote za ushindi zipo wazi. Hivyo, Dr. JJPM-MKEMIA wakati...
CCM tupatie Prof. Muhongo. Ni mtu anayetekeleza majukumu yake kwa vitendo. Pamoja na jitihada zote za wafanyabiashara walanguzi kumpiga vita kupitia wanasiasa ucwara, watanzania tunao ufahamu. Tumetafakari, kupambanua na kuelewa
Hakuna Chama wala kundi la watu litakaloungwa mkono katika uchaguzi wa mwaka huu kwa kumjadili mtu. Kwani, Dunia hii haina malaika wa kutuongoza, binadamu sote tunayo madhambi mengi. hata hivyo, Lowassa siyo mdhambi kiasi hicho unavyotaka kutushwashi tuamini. Mnacheza mchezo mbaya sana wa...
Kama ni kweli Chagonja ameyasema haya kwamba hawajui chochote zaidi ya kufuatilia kwenye magazeti basi ni aibu sana kwa vyombo vya usalama! Kama huyu kijana ni Mtanzania, Polisi walitakiwa haraka sana mara baada ya kupata taarifa hizo kufuatilia taarifa za mienendo yake alipokuwa shuleni na...
Hiyo 3% iliyochanganyikana UAMSHO na MAGAIDI ndio inayosumbua na kujiita wazanzibar. Kwa sasa pale ndo home of terrorists wapo dormant maana music wa JWTZ wanaujua
Lipumba, Lisu na Jusa na madume ya kulalamika-lalamika tu! hayana hata aibu madume mazima kulalamika tu. Sijui kama yana watoto haya kwa maana ya uwezo wa kuzaa
Waende Bungeni, waache uzurulaji. Ni wanafiki na wapotoshaji. Wanadhani kukimbilia kwa UAMSHO kutasaidia nini? wapigwe mabomu watokomezwe. NO MORE MONEY TO POLITICIANS! Hatuwezi kukaa chini kufikiria kutengeneza genge la kula kodi za wananchi eti serikali 3! wakati bajeti yenu ni tegemezi na...
mjadala wa Katiba mpya ni Bungeni tu na si vinginevyo! Nje ya hapo ni uhuni na hayo MA-UKAWA yakiongozwa na Prof UCHWARA yapigwe marufuku kufanya mikutano popote Tanzania. Yarudi Bungeni ambako tunayalipa pesa mamilioni kila siku na sasa yanaanza kuzurura nje ya Bunge.Foolish MA-UKAWA!
Sidhani kama wa-Tanzania tutakuwa wajinga kiasi gani kufikia hatua ya kufikiria vyanzo vingine vya mapato kwa ajili ya wanasiasa (Serikali tatu) badala ya kufikiria jinsi ya kutatua kero za huduma za kijamii zinazosababishwa na upungufu katika bajeti. Na sote tunafahamu kwamba bado bajeti yetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.