Naona CCM wamepiga mahesabu kuwa watakaokufa kutokana na mgomo wa madaktari thamani yao ni ndogo kuliko hao viazi Nkya na Mponda.
Wanasahau dhamana ya kuongoza ni hiyo waliyopewa na wanao waua, wanasahau hata Misri maandamano yalikuwa hayaruhusiwi kwenye katiba lakini ndio yaliyo wandoa...
Jerusalem, kweli wewe unaonekana ni Engineer uliyeajiriwa Infosys na utendaji wako ulikuwa wa kubabaisha jamaa walipokukamata na Dell ume-iba wakakutimua. Badili Tabia na si kumvalia njuga Boss wako wa zamani.
Mbona list ya wageni ipo ndefu tuu kwenye Baraza, wao ni watakatifu au kutimuliwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.