Inaumiza Sana, unajua watu wanapolalamika kuwa tuwe na tume huru ndo katika mambo Kama haya. Unategemea Mheshimiwa atafanya Nini wakati nae nimshindani was nafasi ya ubunge jimboni mwake? Unategemea anaposema atasimamia amani kwamaana ipi? Yaani mvunjifu was amani niyule ambae atafanya siasa...
Nilipoona mchango mrefu nikafikiri unapoint, kumbe Hanna kitu Lumumba tu. Kwavo wawalipie watoto nauli ili kuiumbua serikali kivipi, wewe unadhani ni logic? Logic ilikua kuidiscuss issue ile bungeni at a time maana madhara yake yalikua immatured at that momment, wawalipie nauli ili iweje boya...
Sheria inasemaje juu ya mikutano ya kisiasa? Mbona mnakua hamtumii akili nyie? Hivi mnaishi nchi gani? Hamna uchungu na nchi hii? Yaani serikali isimamie bunge na sio bunge kusimamia serikali, nyie kwenu nifuraha sio, kwanini msiwaunge mkono wapambanaji hawa ili kuwatia nguvu na Mungu...
Hili la kabwe kuwa fisadi mkubwa si lakubishania. Nenda mwanza uambiwe nini ufisadi wa Kabwe. Luchelele jirani kabisa na Saint Augustine University alifanya nini juu ya viwanja vile, uwekezaji mkubwa alioufanya Luchelele mabilioni hayo aliyatoa wapi? Zawadi aloitoa kwa kiongozi mmoja mkubwa wa...
Sasa ndg yangu alokwambia nasababu ya huyu bwana kumkataa na ufisadi pia nani? Mbona jamaa hajaweka sababu ya ufisadi? Yaani full kukurupuka maji yakijani mpaka kwenye akili.
Najaribu kuangalia kama unachoongea kina mantic lakini siioni. Kwani hapo nikanisani kuwa wanaapa kwa jina la Rais, Kuwa na ukomavu wakiakili, wataapa kwa rais wa jamhuri ya muungano bila kutaja jina magufuri or whatsoever, usikurupuke tu, hii ni kwamujibu wa katiba, sasa wewe ulitaka waikatae...
Aisee mimi nakushangaa jinsi povu linavokutoka, utadhani labda Lowassa ndo fisadi peke yake nchini. Tusiende mbali Escrow imepigwa mpaka mukulu anatetea kuwa fedha zile hazikua za umma. Je kwanini hukuanza nae? Je, kwanini baada ya miaka takribani nane sasa ndo unaongelea swala hili? ulikua...
Aisee hapa alichemka sana. Maana kaongea uwongo kabisa, nani aliepelekwa jangwani? watu wametembea wengine kupandishiwa nauli kwenye madaldala kwasababu tu watu wengi walihitaji kwenda. AMbao hawakumudu gharama, walitembea kwenda nawlitembea kurudi. Nani hajui kuwa watu walikuwa wengi sana...
Hili ndo jembe tunalolitaka. Mheshimiwa Lowassa niukweli usiopingika watu walikuhukumu kuwa u fisadi, lakini tuliwaomba kama u fisadi basi wachukue hatua dhidi yako, lakini mpaka hivi tunavyohangaika humu jamvini hakuna chochote walichokifanya.
Ndg Lowassa Watanzania tuna imani kubwa sana...
Ndg yangu hii ndo tabu ya magamba kuajiri mijitu hata lasaba sidhani kama imemaliza, sasa faiza anachochangia nikitu gani in a context of mind construction, vitu vyake vyote humu ukimfuatilia utaona ni non constructive. Hakuna haja ya ku argue nae.
Chaza, huyu faiza anawatumikia mabwana zake, wala usihangaike nae, hana logic, sasa hapo teh teh teh ndo nini kama si dalili zakusikia raha wanaume wakiwa wamemuwekea.
Faiza nakuona kama mpuuzi tu, maana kwamtu anaekufuatilia anaweza kujiridhisha pasi na shaka kwamba wewe ni gamba lisakatonge, hata kama kuna logic, wewe unareply upuuzi tu ilimradi maboss wako wa lumumba waone ujinga wako wakulipe, huu niwenda wazimu. Free your mind now you should not wait...
Kevoo huna haja kuhangaika na viji...tu kama hivi. Yaani wao ifisadi nisehem ya maisha yao. Kwavohivo vijisent wanavopata wanaona ndo njia sahihi ya maisha yao.
Faiza mbona unaonekana huna staha, kama wew?e ni great thinker, hutakiwi kumcriticise kwakumwambie maneno mabovu kama "familia ya raisi ikakae kwako" si maneno ya staha. Au we unadhani unanafasi yakupata viti maalum. Hutapata maana magamba tunayatoa safafi hii, buku 7 ulizopata zinakutosha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.