Hata asubuhi hii nimetoka kumuona mgonjwa wetu wodi ya wanaume waliofanyiwa surgery ghorofa ya kwanza, mende wapo wanapita pita. Ngoja nikienda nikapige picha japo wameweka bango la kuzuia kupiga picha
Kwa uongozi wa hospitali,
Nachukua fursa hii kutoa malalamiko yangu kuhusu suala la mende katika wodi za kulazwa wagonjwa katika Hospitali ya Benjamin Mkapa hapa Dodoma. Ingawa hospitali hii inatoa huduma nzuri kwa ujumla, suala la mende katika Wodi mbalimbali hospitalini hapo ni kero kubwa...
Na kila mwezi analipwa posho elfu 50, kwa miezi tisa atakayokaa depo atakuwa kapewa 450, bado kula bure. Bado atamaliza, atapewa posho ya kujikimu perdiem ya siku 14 sawa na nauli kwenda kituoni. Hata kama ni CCM lakin watu tuwe na shukrani
Kenya wanapanga nyumba kwa kuwa wengi ni maisha ya kati na chini uwezo wa kununua ardhi na kujenga hawana.
Ukilinganisha maendeleo mengine, sisi kwa stendi za mabasi tumewapita sana East Africa nzima. Barabara ndio usiseme. Umeme hapo unamaliza kabisa[emoji1]
Kumbuka babu za mababu wa waarabu walikuja wao wanaume peke yao kutokana na changamoto za usafiri wa baharini karne hizo ambazo wanawake walitapika baharini hadi kupoteza maisha. Hivyo wakaoa waswahili na kuzaa machotara machotara wakaoana hadi wakarudisha uarabu[emoji1]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.