Jamani kama unahitaji mke siyo gf, naomba nipm
binti yangu ameniomba nimtafutie, siyo ameshindwa ila ni utaratibu tulio kubaliana naye
uwe mrefu
mcheshi
unaye penda suti
gari lolote jipya dogo
uwe na pesa za kawaida, nyingi si kikwazo
binti yangu anaumri wa miaka 20
ana masters ya sheria...
Wanaume ndi wa kwanza kulaumiwa. Tongozeni kqwa nidhamu, heshimuni malengo yetu ya baadaye, tulindeni na siyo viongozi wa uharibifu. hapo vibuti hamta visikia.
Nyie mnao danganya wadogo zetu eti hakuna haja ya kuwa biikra. upuuzi mtupu. Hata kama wanaume ni wazinzi, bikra sio zenu waachieni walio nazo wazitunze na sio kuwalaghai eti ni vichanga tuu ndio vina bikra.
.
sio kwamba alioa akijua, alioa bila kujua, na hakutarajia kuwa atakuta mlango upo wazi. Kwa namna hiyo lazima ashituke. Umepeleka wapi ile kitu yetu????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.