Taarifa kama hizi zisizo na uhakika zinashusha credibility ya hii forum
.. Nimekuta hiyo habar kwa group ya WhatsApp na watu wakaanza kuijadili Jamii Forums kwamba ni wazushi wa kutupwa ... Hakuna hata aliyeuliza km kuna hata waliouwawa
Ngalikihinja...usipotoshe umma, umeme wa Namtumbo unatokana na kufungwa kwa Mashine mpya yenye uwezo wa kilowat 340 pale pale Namtumbo, na hitaji la wakazi wa Namtumbo ni kilowat 46 tu, kwa hiyo mitambo inazalisha zaidi ya hitaji la watu... i was there on Friday kama utahitaji picha ya kituo...
Hawa watu sijui wanatumia nini kufikiria, so wewe Bhavick ulitaka huyu mtu aliyeonekana anapanga uhalifu aachwe tu kwa sababu kuna mtu aliyesema ana video inayoonesha upangwaji wa mauaji ambaye naye aliachwa bila kutiwa nguvuni...Hivi ni kweli hizi habari zako mbili zinalingana??? wewe ndo uache...
Usiwe mvivu wa kuelewa, jaribu kutofautisha kumiliki video ya kupanga mauaji na kuonekana katika video ukipanga mauaji...Hapo unaulumu jeshi ili iweje? Hakuna game yeyote kaa utulie jeshi lifanye kazi yake. Au na wewe unataka kusaidia polisi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.