Kama ambavyo umesema uchunguzi ufanyike kubaini ukweli wa jambo nadhani ndo ingekuwa busara zaidi kuliko kusema ...."hivi vitaasisi visitafute kiki kwa kuchafua taasisi nyingine" hui ndo ukomavu wa mawazo. Hizi taasisi unavyoviita vitaasisi vinafanya mengi mazuri ambayo ninaamini ukiamua kufanya...
Value ur dignity bro. cutes are not yet born. imagine how many of us do poses a car, do u think u ar the first to own a car! redeculous, make ur healthy family. songa mbele na maisha mthamini huyo wako mchumba huyo mdada asitumie huo unaouita uzuri kukupoteza kumbuka yeye ana familia...
Value ur dignity bro. cutes are not yet born. imagine how many of us do poses a car, do u think u ar the first to own a car! redeculous, make ur healthy family. songa mbele na maisha mthamini huyo wako mchumba huyo mdada asitumie huo unaouita uzuri kukupoteza kumbuka yeye ana familia tayari...
MKWERE: akiwa na bakula, anaomba kwa wazee wa kaya wa wasomi huko ulaya.
WAZEE WA ULAYA: Kwani una shida gani mkwere?
MKWERE: Nina matatizo mengi wazee wangu, UKIMWI, MALARIA, UMASKIN, na hayayote bajeti yangu haifikii
WAZEE WA ULAYA: Halafu w mkwere, si una dhahabu, almasi,makaa ya mawe, gesi...
nionavyo ni kama vile ccm wanakimbia kivuli cha maovu yao kwa wananchi ili hali wamesahau kuwa taswira halisi ndio wao wenyewe. wanapingana na kivuli chao wenyewe. hivi, wanashindwa kwenda kuandamana kudai watoto wa maskini walio wengi wanasoma kwenye shule taabani huko vijijini - sekondari za...
Kazi anayo ndiyo maana hotuba yake fupi baada ya kuchaguliwa kuwa spika amesema ataanza kujifunza sheria na kanuni za kuliongoza bunge. halafu mbona kama amekaa kiubabe babe ili kuficha udhaifu wake kuwa sheria inampiga kushoto ili hali bunge hili limejaa wasomi kbao hasa nyanja ya sheria...
kwa mara nyingine tumeshuhudia mawazo ya kilaghai kutoka ndani ya ccm, eti wameweka historia kwa kutoa mwanamke ambaye amekuwa spika wa kwanza kwa JMT. kibinafsi sikatai kuchaguliwa kwa mh. Anna makinda ila shaka yangu ni jinsi gani ccm imetumia udhaifu mkubwa wa kifikra na kisiasa kwa kuangalia...
wana JF kwa kuwa ishu hii inilinigusa na kunihuzunisha sana imenibidi niwe kachero kwa muda ili kupata kinachoendelea kwenye hili sakata. kwa habari nilizozipata ni kuwa benki ya uingereza imeblock kwa sasa hiyo akaunti na kwamba pesa haziingii wala kutolewa hadi hapo muafaka...
hatimaye spika amepatikana na katika kujua kuwa kazi aliyonayo mbele yake ni kuwa amesema kuwa kuanzia sasa ataanza kujifunza sheria na kanuni za ni jinsi gani ataliongoza bunge la JMT. mh. spika A. Makinda amesema hayo katika hotuba fupi baada ya kuapishwa kuwa spika wa bunge la jamhuri wa Tz...
Kutokana na chanzo kilichonitonya habari hizi kuwa ni cha idara nyeti ya serikali naomba kutoa hoja kama ifuatavyo:
Katika kukurukakara za kujiandaa na uchaguzi huu wa mwaka 2010.. kuna habari kuwa kuanzia mwaka 2005 waziri mmoja wa awamu iliyopita ambaye ana mkono wake TICS alianza kulipwa...
wana kaya kuna tetesi katika pita pita yangu kuwa mkuu wa kaya anataka kumpatia mh. 6 uwaziri fulani ilikumpoza na machungu ya kukosa nafasi ya kugombea uspika wa JMT kwa tiketi ya ccm.
wana jf hii timu imekamilika ila namwonea huruma spika anayeteuliwa kwa dalili tunazoziona sasa eti ccm wanaleta uamuzi wao wa kukurupuka wa kudai hata na wanawake wanaweza wakati wanamtwisha mzigo ambao hatauweza kuubeba mama yetu huyu. kwani kwa nionavyo mimi tangu tupate uhuru hili bunge la...
hivi jinialiyeas una documents inayoonesha mkutano wa kina Rost aziz ama vip maana naona unatapatapa. ngoja niiweke kwa ajil yako. kama upo hewan sio uhuru tafuta topic uthibitisho huu hapa halaf unijibu. kwakuwa ni mbishi kwa vile nami ninayo hii doc. wanayoita wao siri nakutumia halaf unijib.
wanasema ukila na kipofu usimshike mkono...hii sisiem wamewashika mkono watanzania wengi mno na hakika dhambi hii haitawaacha milele.. iko humu humu Jf ni kuhusu mkutano wa la cairo. hutaamini dharau tunazofanyiwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.