wanajua sana ila kusudi ukizingatia kila matatizo yanapotokea wenyewe hayawakuti kivumbi sisi walalahoi,halafu nahisi masikio hawana na macho pia ndio maana wajifanyia mambo kiholela.mwishowe tunabeba mzigo taifa zima kwa ujinga wa watu wachache:mod:
Siyo hivyo sixteen kumbuka kuna ndugu zetu wengine wa cuf wapo 11,safari hii mjengoni halali mtu labda nao walewe sifa wakatuzingue,hapa zitto hapa ahmad rashid si unajua mziki wao kaongezeka mnyika,ccm watapumulia mipira
kuwalazimisha wananchi waongozwe na mtu wasiemtaka haipendezi.wapenihaki yao walioshinda miaka bado ipo ukishindwa leo utajipanga next election utagombea tena.mbona watu wanarisiti mitihani hata mara nne mwishowe wanaenda vyuo.why in politics
[kibonde tatizo lake kakariri watu wameaka hili kama trellar ataisoma picha yake 2015 hatupigi domo wakati huu kichapo cha kimyakimya. kawe vip Mdee hawajamueleweshea mpango mzima?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.