Mi naona kwa mbele waweke picha ya jamaa baunsa akiwa kamkanyaga raia mnyonge kwa miguu then mkononi awe ameshika bastola simply kuonyesha ukatili wanaoufanya dhidi ya watanzania maskini... Na kwa nyuma waweke picha ya bangi kuonyesha hawatumii elimu bali wanakwenda kibangebange..
Just live your lyf, ya kwe2 tu na harakati za kuzulumiwa haki ye2 kwenye uchaguzi yametushinda sasa ya Oprah 2tayaweza? Live them as they are na sisi tuangalie ye2. Hilo swala anajua Oprah mwenyewe na anaosagana nao kama wapo.
Veri gudi Mr presda wa CHADEMA, ce wanaharakati tupo uwanjani na full jezi tunasubiri kipenga chako cha mwisho ili 2anze mapambano.. Fanya wela ili mambo yawe fasta kabla mambo hawajayachakachua for other tym.. We love u.....
Me chochote anachoamua Dk juu ya hii tume ya uchaguzi ya 2010 naunga mkono. Kwani kweli kasoro nyingi tumeziona, angalia mbeya, shinyanga,mwanza na hata kawe
Kweli watanzania wengi elimu cheche, kuna mijitu mingne haielewi harakati wala haiamini mapinduzi, ndo maana wengne wamerizika na maisha utakuta baba yake alikuwa mjumbe wa nyumba kumi na yeye anataka aje arithi hyo kazi, how come?
Ebwana eehee? Hata kama meseji ni planted inachozungumza ni chaukweli na ni wajibu wa kira anaeona ameibiwa kuandamana hyo ijumaa, cjui itakuwa sangapi?
Pamoja Dk, Uko sawa wameiba mno, bt cha msing we kusanya data zako zote kutoka kwa mawakala nchi nzima halafu tutajumlisha sisi kama chadema na kujua 2mepata nini ndo 2pambane fresh..
Try to be open, ume2mia lugha ya picha sehemu nyingi n then neno kileleni limezoeleka pachika msemo mwingne hat stendi, kichuguuni, au hata ki2oni au mwisho wa safari..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.