Sielewi nikitu gani anakitaka huyo DR SLAA haswaa pale anapo dai kwamba wamechakachua matokeo {KWA HIYO ANAMANISHA KWAMBA YEYE NDO ALIPASWA KUSHINDA AU ANAMAANA KITU GANI?}:thinking: jamani asije tupeleka BAGHDAD
NADHANI kila mtu atapata kuufahamu ukweli.Lakini kwa maoni yangu sioni kama ni busara kwa Dr SLAA kupinga matokeo na kusema kwamba yamechakachuliwa JE?NIWAPI ANATAKA KUTUPELEKA?:sad:
huku musoma mambo yamekwenda mrama baada ya mtu mmoja anaye sadikika kuwa mwanachama wa CCM kuingilia maandamano ya CHADEMA na kumjeruhi mtu 1....Na matokeo yake kupigwa nusu ya kuuwawa na kupelekea kulazwa hospitali ya mkoa:A S-baby::A S-baby::A S-baby::puke:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.