Maxcence Melo naomba watu kama hawa wasiokua na staha ya midomo yao michafu wanatukana level hii,naomba muwapige ban kama inavyotakiwa.....Naomba sheria ya BAN ichukue mkondo wake..naomba ii post iwe ni lalamiko na wito wangu rasmi kwa JF sheria tulizojiwekea zifatwe
MWIZI....
Unajua athari yake ukishikwa?Hivi unaelewa unachokifanya wewe?Ni jela Life Imprisonment,na kosa halina dhamana...Ni uhujumu uchumi...
Badala ya kukaa chini na kufanya uzalishaji wa kweli kusukuma jamii mbele kiuchumi mnaona DECI ya Forex ndio njia,really?
Una matatizo wewe..ukiwa unaandika shirikisha ubongo...nani akuonee wivu wewe?Nakujua?Sikujui,wivu nikuonee wapi?Stop clowning..
Siwezi cheza michezo ya upatu...heri nitafute jembe nilime nivune kwa jasho langu niuze nipate kidogo hicho cha halali nile kwa amani...Unanishangaza hata hujui maana...
Wewe dada una vituko..Hizo hela unazokusanya ni za maskini Watanzania...Yaani huna tofauti na mwizi kabisa...
Hivi unaelewa kweli matatizo unayosababishia wanaopoteza hizo hela unazopata wewe?Hivi wewe ni mwanadamu kweli?
Aisee utakua na matatizo makubwa sana,au jamii yetu ya Kitanzania...
Dada yangu,wewe ukiangalia upo kwenye top of the food chain....hii ni Ponzi au Pyramid Scheme,aliepo mbele kwenye chain hatakaa aone tatizo..shida ni pale collapse ya mfumo mzima inapoanguka kwa one day....
Ni proven Pyramid Scheme mkuu.....Ufanyabiashara ni kujenga vitu au huduma na kuuza...
Ni kama Ontario na upuuzi wake....halafu kuna wehu wamejiunga nae...This is stupidity...Eti "Mfanyabiashara" bora Tanzania bwana "Ontario"....ujinga ujinga tu....
Dada yangu,wewe ukiangalia upo kwenye top of the food chain....hii ni Ponzi au Pyramid Scheme,aliepo mbele kwenye chain hatakaa...
Ni kama Ontario na upuuzi wake....halafu kuna wehu wamejiunga nae...This is stupidity...Eti "Mfanyabiashara" bora Tanzania bwana "Ontario"....ujinga ujinga tu....
Mzee utakua na Bipolar Disorder.....huna definitive assertions....sentensi tatu za mwanzo ulizotoa ni contradictions...taifa "teule" lilibarikiwa kuliko mataifa yote haina maana ni context ya "superior" inaonesha wewe sio mwaminifu umeamua kupinga makusudi...
Kwanza sio Ben Gulion ni Ben...
Mzee unaanza unafiki na kua dishonest...mpaka unashangaza....eti hakuna dini inayosema jews ni superior race...hivi mzee upo serious kweli au unajitoa ufahamu makusudi?
Biblia waliyoiandika wao inasema Waisrael ni taifa teule la Mungu na Wafilisti ni watu wa Mataifa (meaning ni second class...
Hapo ndio damage ilitokea...uliwajua through dini teachings,thats all the damage occurred.....Jews as a superior race as peddled by the Abrahamic religion was subconsciously fed to you while you were a child...that's it.
Na dini ni ubaguzi at its very root...utajifanya kua unajua difference...
Mkuu swali mbona rahisi sana....hiyo mitazamo sijui miwili sijui mingapi mimi sijaiuliza....
Kurahisisha swali langu....soma hapa:
Mitale umezaliwa,hujui dunia ni nini,hujui mtu yeyote,ukakua,mara ya kwanza kusikia kitu au watu wanaitwa Waisrael ni lini na uliskia kutoka wapi na ulikua na miaka...
Nimekusoma mkuu.
Ukiangalia source ya admiration yako kwa hii jamii ni historical....most definitely umezaliwa hujui lolote duniani kama wanadamu wengine ila ukawa influenced na Abrahmic religion writings and teachings..huko ndio uliwasikia kwa mara ya kwanza,ukawa influenced..ukawa mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.