kuna uhakika gani kama mtoto ni wa kaka mwizi(kama unavyomuita)?? kama hajapimwa DNA kuna uwezekano pia mtoto akawa ni wa mume wa dada mwizi(kama unavyomuita) kwa sababu inawezekana huyo dada siku aliotoka kukutana kimwili na kaka mwizi pia siku hiyo hiyo tena akukutana na mme wake
My take...
kwa wale tuliesomea mwanza kuna mashindano yalikuwa yanaitwa rottery asee ilikuwa sio mchezo, ilikuwa ni sehemu ya kuonyeshea nani mjanja, nani anjua kuvaa vizuri, nani mbabe na mambo kibao, shule kama lake secondary, bwiru boys, nsumba aka washamba wa pori na buswelu ilikuwa nom, mji mzima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.