Kuuza mwili ni kosa la jinai kwa hiyo mapato yake si halali, tatizo kubwa ni kuweza kuthibitisha mtu huyu anajiuza ndio mana hata kesi zao hua wanaambiwa ni za uzururaji. Kwa nchi nyingine kuuza mwili imehararishwa kisheria! Hela itokanayo na mpira ni halali kabisa na huwezi linganisha na kujiuza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.