Yes Sex ni afya, lakini kwa walio kwenye ndoa tu. Kama ilivyoandikwa hapo juu na kwenye vitabu vya dini pia, sex inamuunganisha mwanamume na mwanamke kiroho. Sasa uanza shughuli kabla ya ndoa, utaunganishwa na wangapi?
Shinyanga mjini leo asubuhi watu walikuwa wanafuatilia matokeo wakapigwa na mabomu. Lakini wamerudi tena sahizi. Ofisi za manispaa zimepigwa moto, hakijaeleweka bado... matokeo yamechakachuliwa....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.