Ngumu kubishana na mtu ambaye yuko informed. Mleta mada inaonakana anajua kuliko anayosema
Nimeipenda hiyo issue ya TRANSPARENCY. Kama serikali haitaki kuwa open na haya mambo matokeo yake watu wataanza kusema na kutafsiri wanavyooona wao sawa
Nasubri kumsoma Pascal mayalla on this
Ukweli utabaki pale pale kuwa Misri can't enjoy the benefits of having access to the sea, while blocking a country like Tanzania from profiting from the fact that it sits at the source of the Nile
Mkataba huu haunt tofauti na mikataba ya kilaghai iliyosainiwa na wakoloni
Its a colonial treaty na hautuhusu
Huo ni mkataba kati ya MKOLONI MWINGEREZA na Misri
HAUTUHUSU
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.