CHONDE CHONDE RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE:
Natanguliza salaam kwako Rais wetu Jakaya KiKwete, kwanza kabisa nakupa pole kwa majukumu mazito ya kujenga nchi. Pia tunakupongeza kwa kazi nzuri uliyoifanya kulifikisha taifa letu hapa lilipo kwa Amani na ultulivu. Kila dalili za uvunjifu wa Amani...
Wana jamii katika pita pita ayangu nimegundua kuwa CDM haikibariki nyumbani kwa mwasisi na kwa viongozi wakuu hasa kwa mwenyekiti Mbowe, je kumfukuza ZITO kunaweza kukiathiri chama ktk uchaguzi mwaka huu? angalia hizi takwimu za matokeo ya uchaguzi wa Urais mwaka 2010.
MATOKEA YA UCHAGUZI WA...
Watu wa Mkoa wa Kigoma siyo wanafiki km utokako wewe, hawachagui chama wanachagua wachapa kazi bila kujari yupo chama gani? angalia katika bunge la sasa wananchi wa mkoa wa kigoma waliwachagulia wabunge majembe na wamezitendea haki nafasi zao:- naomba unipe weaknesses za wabunge wafuatao na...
Nyerereite is a very rare sodium calcium carbonate mineral with formula Na2Ca(CO3)2. It forms colorless, platey pseudohexagonal orthorhombic crystals that are typically twinned. It has a specific gravity of 2.54 and indices of refraction of nα=1.511, nβ=1.533 and nγ=1.535...
Hapo ndiyo kuna matatizo ndani ya CDM km zzk hafai kuongoza si mngemnyima kura akachaguliwa anayefaa? Kwa kuwa CDM ni chama cha demokrasia kinatakiwa kufuata misingi hiyo. Mawazo yenu mnataka yawe mawazo ya chama.katiba ya chama anawapa wanachama wote haki sawa hayo maneno yanabaki ngonjera. Na...
Katiba mpya kurudisha nchi ya Tanganyika ni kukijeri mawazo ya waasisi wa Muungano wazee wetu, Hayati Mwl J.K NYERERE na Hayati ABEID AMAN KARUME. Kwa sababu kama kutakuwa na Tanganyika hakuna JinaTanzania kwa sababu Tanganyika ni muunganiko wa maneno kutoka TANGANYIKA NA ZANZIBAR. Naomba...
Anafunga wapinzania wake vifungo virefu gerezani, juzi kamfunga yule mama wa kihutu. hana ushupavu bari anatumia jeshi lake kuua na kufunga wananchi wenye mtzamo tofauti.
Watanzania tukubari kutofautiana kimawazo na kimtazamo, inasikitisha kuona baadhi ya watanzania kuwatukana km si kuwadhihaki wananchi wa Kasulu Kumpokea Zito Kabwe, wananchi wana makosa gani kumpokea? km zito ana makosa au viongozi wa Wilaya au mkoa wanaanchi wanahusika vipi? MBONA MZEE WA...
Watanzania tukubari kutofautiana kimawazo na kimtazamo, inasikitisha kuona baadhi ya watanzania kuwatukana km si kuwadhihaki wananchi wa Kasulu Kumpokea Zito Kabwe, wananchi wana makosa gani kumpkea zito Kabwe? km zito ana makosa ai viongozi wa Wilaya au mkoa wnaanchi wanahusika vipi? MBONA MZEE...
Mkuu umenena, wamemwaga ugali na sisi tumwage mboga, tuongeze ushuru kwa watalii wanaoingilia mipakani na wasaidizi wao. au tuzuie tour guide kutoka nje ya Tanzania la sivyo guide watulipe dora km wazungu. lkn tupunguze fee kwa watalii wataokuja direct bila kupitia kwa majirani zetu. ka hawataki...
wiki iliyopita mbunge mmoja kutoka Burundi alisema km lengo ni ukanda huo kwa nini reli iishie Kigari pekee, kwa nini Burundi wasijuiswe kwenye mradi huo ili reli iishie Bujumbura. Km hujui watutsi hivyo ndivyo walivyo, ni wanafiki sana. Kenyata ametumia mwanya huo kutaka kunufaika. Mwai kibaki...
Bila KJ haya ungeyajua? tunamshukuru MUNGU kutuleta Kikwete ili nchi ipate ukombozi kutoka kupe CCM waliokula nchi hii miaka 50. saa ya maajabu inakuja.
Heko dudus, una akili sana. samahani una degree ngapi? unamzidi Benson Bana yeye kila kitu anataka aonekane safi mbele ya Rais. bila kuangalia upande wa pili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.