Wakuu habari,
Wakuu samahani kuna mwenye taarifa na hii taasisi jamani?
Zanzibar Election Observation and Support Project (ZEODS-Project)
Email: electionobserverjobs@gmail.com
|infor@representative.com|ZEODS-Project@europe.com | ZanzibarElection@representative.com | inquiry@representative.com...
Hawa jamaa hawajifunza kutoka kwenye forum za uwekezaji zinazotanyika katika kanda au mikoa,nnawasisi na washauri wao na waandaaji na hata kama huwa wanapata mialiko wangekuwa wanajua nini maana ya fursa
Hao wenye Almasi umeona maisha wanayoishi?! nenda kajionee mwenyewe na tathmimi, basi hata wadanganywe kwa kuarakisha ujenzi wa viwanda, vijana wapate ajira then ndio jamaa wapeleke mzigo Dar,Vinginevyo wale jamaa wa kanda hili kwa hali ya maisha wanayoishi ,ni lazima wapambane.
Kaka umenena, kwani kwa kiongozi bora, ni lazima atakuwa na uwezo wa kutafakali na kutumia decision Model zenye standard with tm limit,lakini kwa bora kiongozi ndio wale ambao wanatufikisha pale kwa kina Richmond, Dowans.Kagoda, EPA,.Endelea mjomba kutoa somo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.