Jaribio hili nililikuta humuhun na nikajaribu nikaona linafaa ingawa sikufanya mapenzi ila nilijiona nikofiti....fanya hivi tafuna vitunguu swaumu punje kama 20 au 15 mida ya jion then kesho yake unywe maziwa robotatu lita baada muda utaona ngoma itakavyokuwa inadai na utakuwa na nguvu za...
Wazee naombeni msaada mimi nikinunua umeme wa 30000 haumalizi hata mwezi na sina matumizi makubwa nina frig moja tu na inatumika siku moj moja.taa nimefunga energ sever sina jiko wala nini tatizo nini? Wire ring ni mpya au kuna mautundu maana nackia huko dar wengine wananunua umeme wa 500
na...
Uvumi wa mm kupewa mkwanja unavuma sana hapa town na mkurugenzi kuambiwa akimtangaza mama akatafute kazi anapojua imavuma sana hapa mjini ifakara na inasemekana kinacho wafanya ccm wang'ang'anie jimbo mali asili zilizopo ambazo wanazivuna na kujaza kwenye matumbo yao bila wananch kufaidi matunda...
Katika jimbo la kilombero pale ifakara hapatoshi watu wameandamana naskia wanamshinikiza mkurugenzi wilaya amtangaze mteketa wakati kashinda mama halafu nimekutana na mmoja wa waliokuwa wakisimamia upigaji kura amesema matokeo eti ni mpaka saa 10 jioni coz bado vituo kumi na nne havijahesabiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.