Nakushauri nenda kanisa la sloam liko mbezi utapata msaada
Hilo ni tatizo dogo,nina shuhuda za watu ndugu yao alipotea hapa mwanza kwa miaka nane naye alichizi lkn alisharudi na anafanya mambo yake wataalam hao sasa hivi hawatakusaidia.
Acha tuhuma za kijinga fanya kazi, msiongee pumba kama unajua undani wa huo upuuzi weka wazi sio mnakaa tu hamfanyi kazi wengine wanahangaika wakipata mnawachafua! Kama unajua chanzo cha utajiri wao ungekiendea na wewe au hutaki utajiri unaona ukae team kuchafua majina ya wazee wa watu!
Rweyemamu amewahi kuwa mwajiliwa wa barrick na mikataba haitarusu aemde kuwakagua,it happenedkwa mtu mmoja namfahamu alikuwa mfanyakazi hapo alipopewa kazi ya ukakuguzi na kampuni mmoja share holder kama independent consultant klishindikana kulingana na mikataba ilivyo
Watu wanachafua tu wengine PZ alianza biashara zamani sana baada na kuajiliwa na watu kadhaa maeneo ya nyamongo 80's alianza biashara ya maduka mashine za kusaga na vinywaji enzi hizo, wakati akiendelea kuwekeza watu wengi pia miaka ya late 80's to ealy 90's kule Nyamongo walipata pia hela...
Ni kweli PZ ni opportunist, aliboresha huduma ya usafiri , hata ilipobidi kudrive mwenyewe hadi watu wake walipoelewa principle zake, mambo mengine ya ndg na family ni mambo binafsi lkn kibiashara Peter ni mfano wa kuigwa, congrants Petro roll model wa vijana wengi wenye malengo ya mafanikio Tarime
Tanzania ilipifikia tunahitaji raisi mwenye maamuzi kama professor muhongo,hotuba inaeleweka na umeirahisisha japokuwa kuna wenzetu humu kutokana na uwezo wao wa kuelewa bado wanatoa lugha zisizopendeza,uliosema ni kweli na watanzania tumekuelewa,mungu akubariki sana mzee upate nafasi ya...
Nilichokiona baada ya ukawa kutoka hakukuwa na hoja wala kujadili Rasim kila aliesimama alijisifu, kusifu ccm, baba wa taifa nk hadi muda unaisha bila kugusa katiba, pia hakukuwa na control ya muda! Kila mtu alilopoka hadi alidhike mwenyewe!
Walichoshindwa kukitambua ccm ni idea ya tume ya...
PZ opportunist,kweli wabongo wengi huwa tunakuwa wagumu kumkubali mtu! Akiwa nyamongo alikuwa akifanya kazi za kawaida hadi alipoanza kupata mtaji na kufanya zake, baadae akaanza biashara za usafirishaji, hakuna basi iliyoondolewa trm-mwanza kwa ubabe, alichofanya ni kuboresha huduma zake na...
Siamini kama mleta mada ni mkurya kweli kwani lengo lako ni kuelezea ukatili wa baba yako siyo wa wakurya , acheni kuchafua image za watu wengine kwa reference ya baba yako!
.............nyoko
Baine ni kweli lkn pia huyo mkewe anasumbiliwa na kiburo sana na imawezekana nae anapigwa nje ya ndoa , cha msingi jamaa angemweleza khali halisi ma jimsi anavyojisikia kukatia huduma hiyo muhimu , na kama itashindikana ajaribu kutumia uanaume wake kama msemaji mmoja alivyosema hapo juu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.