A. KINANA - MAKAMU MWENYEKITI.
MR. MUKAMA - KATIBU MKUU.
NAPE NAUYE-ITIKADI NA UENEZI,AFADHALI.
KUNA KITU NINACHOKIONA HAPA AMBACHO NI WOGA WA KUFA....YANI KAMA VILE MTU ALIYEDUMBUKIA KWENYE MAJI ASIYEONA PA KUJISHIKA,HIYO NDIYO CCM NIIONAYO MIMI BUT I NEED UR MAWAZO.:redfaces:
tunza ndoa yako huyo mzungu hana ishu.Una bahati ya kupendwa ndo mana ana wivu na wewe
je yeye angekua anakuja na mzungu wa kike wewe ungeaminni ni kawaida tu?????
Wana Jamii shaurini,
Ndugu yangu anampenda msicana mmoja ambao wote ni wadogo 1st year chuo.Cha ajabu yule msichana hamtaki lakini jamaa analazimisha hadi amewahi kutaka kujiua....
Cha kushangaza zaidi ni kwamba huyu ndugu ameamua kuweka ugomvi na kila msichana hadi mke wangu eti kisa...
Hebu niambie ni vipi mwanamke anaweza kujiridhisha mwenyewe?kiukweli sijui ni vipi ila nadhani ungeweza tu ukaangalia ni wapi sio sawa kama zamani mambo yatakua fresh.
Dear JF Members,
Im so pleased to be in this forum and i hope we have much to share in all aspects of daily life.
The way i think is that ideas make us learn more about different things in our lives.
Thank you all and be blessed. :car:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.