Hahaahahhhaha.. Huyu jamaa huwa namuheshimu sana hapa, anajua simu vizuri mno. Halafu ninachompendea hata ukimchalenji kikashfa bado atakujibu kistaarabu.. Abarikiwe sana.
Acha nichukue tu namba yako nikutongoze, najua ndio hilo wataka simu ni geresha tu.. Nyie watoto wa mjini wajanja sana.. Unaweza sema nauza nyumba, unaweka namba ukijua utatongozwa tu. Upate mshiko kiulaiini baada ya kazi.. Poa ntakupigia..
We ni muongo, kwenye uzi wako ulisema umenunua mlimani city, leo quality Plaza.. Acha utapeli.. Nia ilikuwa uuze tu hiyo simu.. Sema umeshikishwa kariakoo.. Ukaanza mbaaaali..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.