Hata uweke video ya mumeo hapa, hatudanganyikiiiiii.
hakuna mwanasiasa mkweli.
hata Jk baada ya EDO kufariki alimsifia pamoja na kua chanzo cha kifo chake.
Kumbuka hakujawahi kua n marafiki ktk ngazi za juu za uongozi waliokuwa wameshibana kama JK NA LOWASA, ila mwisho wake nadhani unaujua.
sii...
we punguani tu, kuna stend gani kiuanzia mbagala,buguruni,temeke,bunju,tegeta,magufuli,mbezi,kimara,korogwe,same,tukutu,mbeya,mwanjelwa, na kwingineko kote ambako vibanda vya kuuza pombe havipo usiku kucha?
tena dar wanauza wamasai 24 hrs.
ulimbukeni wako ndo unaona umefanya uchunguzi wenye akili
siku hizi hata parking fees haisomi kwenye mtandao.
inapaswa unapopaki gari wakiwa wakusanya ushuru kupiga picha walau upate taarifa.
unaweza kutembea na gar mwaka mzima huku unadaiwa hukui
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.