Feisal ni kijana mashuhuri kutoka Zanzibar , ni kijana mwenye uwezo mkubwa na mara zote huwa na juhudi na kuyafikia malengo aliyojiwekea.
Leo katika mchezo wa Azam vs Yanga kijana huyu alimaarufu kwa jina la "Feitoto" aibuka shujaa dimbani, baada ya kuifungia timu yake bao la ushindi na...
Kwani ukiwa upande huo ni lazima ujitoe ufahamu ndio maisha yasonge?
Kuna wakati muwe mnajaribu kutumia ubongo katika kufikiri badala ya kutumia mautumbo ,kongosho na uti wa mgongo.
Pole kwa kupungukiwa na uwezo wa kufikiri
Leo Tarehe 09/10/2020
Mheshimiwa Boniface Jacob* anatarajia kuendeleza Kampeni zake za Ubunge Jimbo la Ubungo katika Kata ya Ubungo.
Muda ni Kuanzia
Saa 8:00 Mchana, Mtaa wa* *Ubungo Kisiwani/Ubungo Maziwa - viwanja vya Ubungo Modern Kutakuwa na Mkutano wa hadhara*
Ubungo itajengwa na Wana...
Leo Tarehe 07/10/2020
Mheshimiwa Boniface Jacob
anatarajia kuendeleza Kampeni zake za Ubunge Jimbo la Ubungo katika Kata ya Makuburi.
Muda ni Kuanzia
Saa 8:00 Mchana, Mtaa wa Kibangu viwanja vya Riverside Stand Kutakuwa na Mkutano wa hadhara.
_Ni_
BONIFACE JACOB
Wao wanaposema nitawafanyia...
Boniface Jacob
Mstahiki Meya Ubungo
Nawasalimu wote katika Jina la Bwana! pamoja na Salaam ningependa leo 14 April 2020 nitolee Ufafanuzi juu ya kero Kubwa Iliyopo katika Soko la Mabibo.
Kwa Vipindi tofauti nimekuwa nikitafutwa na vyombo vya habari kuhusu malalamiko ya watumiaji wa soko...
Nakumbuka ilikuwa Siku ya Uzinduzi wa Kampeni za Urais za CHADEMA katika Viwanja Vya Jangwani siku ya Jumamosi ya Tarehe 28 August Mwaka 2010.
katikati ya Hotuba Nzito sana na za Kusisimua za Viongozi Wa Chadema,Ilipofika zamu ya Tundu Antipas Lissu kusimama na Kuanza kuhutubia,hali ya hewa...
Mheshimiwa Rais John Pombe Magufuli,leo nimekusikia ukimjibu Makonda kuwa Unatupatia watu wa Ubungo pesa za Kiasi cha Tsh Billioni 1.5 za Ujenzi wa Hospitali ya Wilaya baada ya yeye binafsi Kukuomba.
Mheshimiwa nakukumbusha wewe na Wasaidizi wako wote kuwa Mwaka huu 2019 Mwezi wa 2 Tarehe 28...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.