Ulizeni kwanza wake zenu wakwapi kisha muweze kuliza ya mama salma.wanaume wengne hawna kazi na huwez kuwatofautisha na wanawake kwa umbea na unafiki.mama salma yuko salama salmini na kama unataka kupata uhakika kamulize jk ndo ujionee mwenyewe
Achane kupost upumbavu na chuki binafsi .eti hamtamtambua kikwete na aliapishwa tayari kama raisi.hv watu wengne wazima au akili zimeruka kdg.Mtake msitake JAKAYA MRISHO KIKWETE ni Rais kwa miaka mingne mi5
Uchaguzi ulikuwa huru na haki.mimi kama mwanaCCM nachukua nafasi hii kuweka bayana kuwa CCM haijafanya kaz inayotakiwa ktk miaka 5 iliyopita.ufisadi sio siri ulikithiri kupita kiasi.swala muhimu kwa wana Ccm wenzangu ni kwamba tuwe makini sana na maisha ya watanzania kwani wao ndo wanaopiga...
Slaa alitoa ahadi kuliko uwezo na ndo maana wananchi walimpiga chn kwa kujua swala hilo .asingeweza kutimiza hata robo ya ahadi zake.bora Jk tunayemjua.
Mungi.acha mada zisizokuwa na maana.unaweka upupu na wewe ndo baadh ya watu mnaotaka kuleta udini kwenye nchi yetu.Wananchi wanaakili na usiwadanganye kwa mada zisizokuwa na msingi.FIKIRIA SANA
Acheni upumbavu.fikirieni kabla ya kupost vi2 vyenu.mnataka kuleta Siasa za kidini na kikabila hapa tz kama kenya.mtalimaliza taifa kwa udini.Tanzania hakuna siasa ya udini wala ukabila.Ccm pia haina udini wala ukabila.acheni peng'eng'e zenu zisizokuwa na maana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.