With all do respect and my admiration to Dr. Slaa nafikiri hapa kakosea, lakini pia ni uhuru wake wa kikatiba kusema mawazo yake. Hapa naona ni Uselfish zaidi alioutumia, maana sijui what next atafanya au mipango ya CHADEMA baada ya kutomtambua Rais. Kwa kiongozi aliyeweka Kampeni zake kwa...
Siamini nchi ndogo kama Zanzibar kuwa na Makamu wa maraisi 2 hata sijui hao makamu nani atafanya nini. Its one thing kushare madaraka lakini its another thing for them to have big govt for the money they dont have ( We dont have).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.