Yes Kenya...najua baadhi ya vikos vyao vilishakuwaga huko..wana uzoefu huo..Kenya army wapo vizuri..sio wa kucheka hata kidogo,battle yao na Somalia/Alshabab ilkua poa sana ukilinganisha na ile ya AU ya Kutoa waasi Comoro iliyoongozwa na Jeshi la Tanzania
Nazan ni muda sasa DRC wawe na security pact(security guarantee)na nchi kama Tanzania au Kenya..wanapokua wamevamiwa kwenye ardhi yao basi jeshi la nchi walizoingia nazo mkataba ziingie vitani zikisaidiana na FARDC kuwakimbiza hao wavamizi..wasiingie mkataba na nchi kama Uganda wala...
Urusi hana uwezo wa kupigana na nchi nyingine kwa sasa..hata iwe ndgo kama Zanzibar..logistically yupo very unorganised..Ukraine anapaweza mana ni mpakani tu..Hizo nyuklia anazotishia wenzake pia wanazo..akijichanganya atarusha mbili tatu then atapokea mvua ya nyuklia kutoka kwa wababe. Wakati...
Hongera..sikiliza sauti iliyo ndani yako..na uifwate..mimi ningekushauri ukipata muda nenda makanisa tofaut na Roma, naamin hutajuta..na utapata amani na kumjua Mungu wa kweli..mambo ya babu sijui bibi hakuwa hivi wewe haikuhusu..roho/spirit yako ndio itakayohukumiwa..sio maelezo ya babu...
Au drone zikatumwa huko zikaangusha mabomu..Putin na biti lake lote lile la atakae ingilia atakoma
.mbona wababe wanaingilia live live na kusupply silaha kama hawana habaree..kuna video moja niliona (ya nyuma kdgo)Putin alkua aki acknowledge nguvu ya NATO..mwishon akamalzia kua ila yy ana...
Tumia akili ndgo tu,ukienda bank au geast House mlinzi akakupga kofi then unaenda kwa meneja kulalamika juu ya hilo then eti meneja anakujibu "Huyu sio mfanyakazi wetu".nenda kwenye kampun yao ukashitaki..is it possible?ikiwa ndo hivyo basi itakua ni upumbavu wa kiwango cha lami..binafsi hata...
Hii ni response ya kijinga binafsi kuwahi kuiona. Hii Warere beach ukisoma maelezo ya Zainab na meneja, unaona kuna shida kubwa kwenye hio hotel,kuna mambo hayapo sawa..mlinzi wao wanamkataa,hata kama wame mu outsource,simu hazifanyi kaz, hakuna watu kwenye vitengo vyao, eg. mapokezi, wanatakiwa...
Amsamehe kivipi?kwani mtu kubadili imani yako/yake ni lazima upate consent ya mzazi?Naamin huyu mzee hakumaanisha hivyo...mana me namuona ni mtu liberal..so altakiwa ategemee vitu kama hivyo
Polis wamezoea kuhukumu wao utadhan ndio mahakama,hata PGO hawajui..hili jeshi ni la kufanya overhaul tu..weng hawajui hata primary roles za police officer
Wazungu wametuzid sana hapa..wao wapo radhi kukaa mbugan hata 5 years wakifatilia na kurekod wanyama..pia wanawasoma tabia zao, ndo mana hata wasimuliaji wa documentaries za kizungu wanatumia wapo vzur sana..wanakufanya uzidi kuangalia tv tu
Hii channel ilianzishwa kisiasa sana..ni kama wamekurupushwa...hakuna documentary yyote ya maana waliyonayo...wanashindwa hata kuiga kutoka national wild/animal planet huko waone watu walio serious na kazi zao wanafanyaje..wakodishe wataalam kutoka nje ya nchi waingie mbugani huko hata 2 years...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.