Labda kwa wajinga tu itachukua muda lakini kwa wenye uelewa walishajua kuwa na wewe uliingia mkenge wa kuimaliza chama tu. Watu walijitolea kujenga vyama ndiyo wakakuza demokrasia na siyo kiherehere kama mnazoonyesha nyiye. Mandela fought for long time and nobody said it was enough for him...
Angalia sasa wanachoandika Chris na Ritz.
Ritz: Hii kweli ni breaking news
Lukosi: Hii misukule ni janga la taifa
Yaani maandishi yote ni pumba, hata watoto wao wakisoma wataona mibaba mijinga.
Jamani plz, hata kama mnaichukia chadema, andikeni kitu chenye mashiko siyo haya maneno ya...
Yaani mtu mzima unafanya mlinganisho wa uji na matope. Kweli Tanzania tuna shida na watu wanaojitamba watoto wa viongozi tena walioishi katika nchi zilizostaarabika kama Marekani. Willy tafadhali kwa heshima yako ujipime na kuacha kuandika upuuzi kama huu. Slaa alizomewa na ngenge na vijana...
We Olesaidimu kweli una akili za kitoto ka siyo ya kulazimisha kweli. Anyway, we tafuta tu majibu yako but when we read between the lines we can detect what are you looking for
Aksante Dr kwa maelekezo yako. Niliposoma maandiko mengi yanayojaribu kutoa kejeli nikaona huruma jinsi nchi yetu ilivyo na watu wenye mawazo ya ajabu ajabu. Tumekuwa wachoyo wa kufurahia jambo zuri na yenye manufaa mapama. Lakini sikustuka maana hii inaonesha watu wengine wamejaa wivu na...
Na we kweli huelewi. Mawaziri wanakodi private jet kwenda kwenye mikutano ya kuonana na wananchi? What is the difference in cost kwa kutumia private jet na helikopta na kiasi cha mikutano iliyofanyika?
Majitu mengine yaani logic na reasoning dah!
Sasa we le mutuz acha kuabisha tena hii ccm yako ilokwisha kabisa. Unaandika kuhusu Kagame halafu unaweka Burundi we vipi bana.
Au ndo mwendo ule ule wa maccm mawazo pungufu tu
Ana jazba kwani nani mtoto wake wa kumlipika kwa maneno ya kipuuzi namna ile eti Piga tu!
Watu wengine wanatakiwa wafungiwe hata visakramenti maana hawastahili kabisa. Nitawaambia maaskofu hili lijamaa hata kanisani litengwe tu. Yaani watu wanauawa halafu yeye anasema piga tu...waombolezaji...
Viongozi wetu wakuu sasa ni wakati mwafaka wakasimamia ukweli na kusema wazi kuwa viongozi waliopo wamechemka na wanatakiwa kujirekebisha. Ama sivyo nasi tutakosa imani na wao kwani wao ni washauri na ushauri wao una thamani kubwa katika kuiokoa nchi hii. Wasiwe waoga. Nyerere alimsuta kila...
Kuna watu bado ukoloni wa kiarabu umeingia damuni kwahiyo kutoka ni kazi sana. Anyway, wacha awadanganyedanganye hao jamaa zake. EU na USA kusupport tena Zanzibar kwenda OIC na mengine?
Sasa kwanini nani mjanja asiyejua kwamba jamaa anarudisha zile alizovuna toka kwao hao wanyisanzu, wanyiramba na watanzania wengine mimi na wewe tunaokula bidhaa zake?
Kama kuna mwanaccm mpumbavu na bado anaamini kuwa wairaqw ni wajinga na watu wa kuwadanganya basi akasome historia ya Chifu Sarwatt. Huu ushenzi wa akina Mwigulu kwa wale jamaa hauna pa kupita. Mwulizeni mkulu alivyozomewa na Marmo wake 2010.
Muda wa kulonga urongo ushaisha kule. Tunawaomba tu...
Maskini rais wangu. Bila shaka alitaka kuwa mkweli too much. Hili halikustahili kusemwa kama mkuu wa nchi maana kina neno lako linakaririwa. Hapa alitakiwa kumwaga sera zaidi na si mifano kama hii ambayo watoto watadhani ni tabia ya kawaida, tena kwa kisingizio cha kuficha tu na kula baadaye...
Jamani huyu wala sio wa kubishana naye. Pengo hakusema polisi waislam. We unatuambia afande X ni mkatoliki kama wewe na pengo. Duh! Ndo bado unatafuta justification za kumalizia hizo perdiem za walokuhonga nini.
Uko sawa mkuu. Serekali ina makengeza, hailioni hiyo sekta vizuri
Ila laki tisa ni kidogo tu kwa miezi sita. Wenzio wanalipa m hadi nane kwa kipindi hicho na sarkali bado haiwaoni na hao wakalipe kodi
Kaka haijalishi umeanzisha thread na kwamba unawajali wahanga ilihali ukitoa maneno ya kijeli kwa kiongozi ambaye kazi yake ni kutoa msimamo wa nini kifanyike ili tusirudie haya matatizo. Ni bora kuacha kuropoka kwa kujitahidi kuilinda hii ccm yako uliyoikana na kuirudia kwa mikono minne. Mwenye...
Mpaka pengo awaambie wameshindwa kazi ndo wanatuletea haya sasa kumbe mlikuw mnatikisa kibiriti eeh. Hapa hasinzii mtu nyiye chezea roma ww...ilikuwepo kabla ya UN
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.