Tigo ni majanga, wanasema ukijiunga na huduma ya usiku unapewa 30 GB lakini nilipojiunga hata 1GB haikuisha internet ikaawahaifunguki. Huu is wizi jamani yaani nimekatisha usingizi wangu bure...
Mwandishi inaonyesha jinsi gain ulivyo an chuki binafsi kwani Sugu ni Mbunge wa kwanza kumiliki gari na nyumba ya kifahali? Wacha wivu! Kama CCM kwa muda wa miaka 50 wameshindwa kuweka hata umeme kwenye shule za vijijini itakuwa ahadi za Sugu? Tena kwa kipindi kifupi cha miaka 5. Cha muhimu...
Huwezi kulinganisha mafuriko ya San Fransisco na ya huku ya kule yalikuwa balaa, Sema huku makandarasi wakijenga madaraja hawaweki njia ya kutosha ya maji.
Tambaza haikufungwa kwasababu ya kuwapiga Azania...siku hiyo ya tukio nilikuwepo kuwadhibiti Tambaza walivamia shule YETU kupitia upande wa nyuma kwenye uwanja. Nakumbuka tuliongozwa na Batman. Tambaza badala ya kuja tupambanane nao man to man, walianza kurusha mabomu ya petrol kwenye maabara ya...
Kaka Lukosi, hata Mimi nililiona hilo, magari ya Ford yako cheap kuliko ya Toyota hata kodi zake zipo chini. Ila kilichonikatisha tamaa nilitaka kuchukua Ford Escape nilipoangalia preview yake kwenye mtandao zikasema zilikosewa na zimeshasababisha ajali nyingi kwani ni rahisi kupinduka. Ikabidi...
Le Mutuz umenena Mkuu kwa kweli hawana umoja kabisa hasa wanaoishi Belgium. Wao kwa Wao hawapendani mi na shangaaa siku ya uhuru hata hatusherekei pamoja wakati WAKENYA wanaazimisha pamoja na kupeana madili wao wamekalia unafiki tu
Hiyo ni kweli baadhi ya samaki wana uwezo wa kutengeneza umeme ili kujilinda kama ilivyo wengine wanavyotoa sumu au wino kama ngisi. Kwa baharini kuna kitu kinaitwa topedo ni jamii ya taa(ray) wanauwezo wa kutoa umeme wa kuweza hata kuua.
Mpeni ushauri sio kumnanga kama hujui just keep quite.Ila mimi kwa upande wangu naona ubaya kwenye shepu yake haina mvuto, ipo chini na inakula mafuta ukilinganisha na IST
Jamani tusipende kuponda bila sababu. Speech ya JK imeenda shule, swala la historia ni muhimu sana kwenye testimony kwenye misiba ndio maana hata Joyce Banda ametoa historia yake jinsi Madiba alivyomtia moyo kwenye uraisi wake. JK ameongelea sana historia kwasababu Tanzania ina historia ndefu...
Jamani msichanganye mambo, hili swala lilianza kwa Mh.Lema aliposema kama Zzk ana majina na anaogopa kutaja ampe ili ataje. Werema ndio aliyesema kuwa anamwuunga mkono Lema wala sio CDM. Lakini ikumbukwe kwa hali ya kutoelewana ya Zito na CDM ilikuwa vigumu kwa Mh. Lisu kumsaidia Zito kama...
kwanini nec wanapoteza muda kutangaza matokeo kila jimbo wakati tayari wana mshindi tayari wafanye shortcut wamtangaze kiwete ah samahani nimekosea Kikwete kuwa mshindi yaishe kuliko wanavyojichanganya kuchakachua. Hawajui kwa kufanya hivyo ndio wanachochea vuguru? Kisha wamlaumu Dr. Slaa
Dada yangu kwanza hongera kwa huo mshahara, maana mimi mwenyewe nina digrii sipati huo mshahara. Kuhusu swala la yeye kushindwa kukusaidia vitu vidogo hapo dada kweli huyo atakuwa msanii kwasababu kama amedhamiria kukuoa lazima akujali na experience inaonyesha kwamba mwanaume anamsaidia zaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.