Nimekuwa Arusha kwa takribani miaka nane sasa! huyu jamaa ni alikuwa ni kifaa kwa ccm hapa arusha! alikuwa ni kikwazo kwa harakati zetu za ukombozi wa inji hiii, alikuwa ni miongoni mwa watu waliokuwa wanatupa shida sana hapa Arusha, shida kwa maana anakubalika sana na vijana wengi wa hapa, pia...
Tunasoma ktk maandiko matakatifu ya kitabu cha Biblia, kuwa ktk safari ya kurudi Nchi ya Ahadi, wana wa Israel (middle EAST) walikuwa wanaongozwa na Musa, Lakini Musa hakufanikiwa kufika ktk nchi ya ahadi (toka utumwani Misri), ndipi MUNGU alimuinua JOSHUA, kumalizia safari ya wana wa Israel...
Sasa wakubwa! tuweze kutofautisha kati ya COAL na HYDRO. Coal Power Generation ni uzalishaji wa umeme kwa kutumia makaa ya mawe i.e. mashine za kuzalisha umeme zinaendeshwa/zinasukumwa kwa makaa ya mawe (kiwira ni mfano wa hili), wakati Hydro power generation ni uzalishaji wa umeme kwa kutumia...
Hi all wana - JF,
Kama ninakumbuka vizuri, huyu mtawala (siyo kiongozi kwa kuwa hana/amepoteza sifa za kiongozi) wetu wa JMT alikwisha wahi kutamka wakati na mahali fulani huko nyuma kuwa nchi yetu (JMT) haina wataalam wa MIKATABA, sasa huyu mtaalam wa kumshauri kusaini huu mkataba wa 600...
Hii ni ukweli mtupu!
Kwenye nchi za wenzetu, mapolisi ni watu wenye uwezo wa juu wa ku-reason na ni very inteligent people (siyo intelijensia ya jamaa wetu Side Good)> Hakuna intelijinsia bila kuwa intelligent. Angalia mapolisi wetu, utakuta weengii wana Div 3 hadi zero za kuanzia point 25.
Ni...
Nimeona jana akiwa anatoa tamko la UVCCM kuhusu yaliyotokea Arusha. Je yeye ni Mwenyekiti/Katibu/Mtunzahazina/Msemaje/???? wa UVCCM?
Mbona kila UVCCM wanatoka hadharani yeye naye hakosi? na huwa msemaji mkuuu? Jamani hiii ikoje? Hawa wenzetu wakoje? Hii ni nchi ya kifalme? Nijuzeni nafasi ya...
KAKA! kwani Mizengo amechaguliwa? kama ndiyo ni kwa kura ngapi?
Kiufupi ni kwamba hakuna mwananchi hata mmoja aliepiga kura kumchagua kuwa mbunge.
Pinda akipewa u-PM au mbunge yeyote wanedai amepita bila kupingwa (hajapigiwa kura) basi Katiba ya nchi itakuwa imevunjwa kwa mujibu wa katiba ya...
Niwalukumbushe kidogo viwanda vinavyohusishwa na huyu mzee wa nvi!
Mbolea Tanga ilibidi kife ili Mbolea Minjingu kinyanyuke
General tyre Arusha ilibidi kife ili vile vinu vya kuzalishia matariri vipelekwe nairobi (vilikuwa vinatolewa usiku pale Njiro) kuanzisha kiwanda cha Yana tyres
Chupuchupu...
Ndungu (kaka/dada), ninakubaliana na wewe kwa 1000% I mean unity! kama walikataa Dr W P S kutumia uwanja wa Samora pale Iringa na wa Sokoine kule Mbeya kufanya mkutano wa kampeni, je wataturuhusu kufanya sherehe hata kwenye hoteli ya Mbowe kule Machame (Protea Hotel)? siyo tu kwamba watauzuia na...
Ndugu yangu umenena sahihi kabisaaaa!
Mimi ninaishi Arusha! Nilikuwepo kwenye mchakato woooote wa uchaguzi wa jimbo la Arusha mjini. Siku ya kutangaza matokeo, Batilda Buriani alikataa kusainin matokeo akidai hawezi kusaini hadi Lowassa aje. Ni kweli baada ya saa kadhaa kupita, Lowassa alifika...
Dr W P Slaa, is the president for all us who are the followers of CHADEMA!
wewe u rais wetu, na ni rais wetu sisi walalahoi na waamka taabani.
Tunakupenda na tunakujali ndiyo maana hata tulikuchangia Tsh. 350/- zetu kwa sms kupitia simu zetu ili uweze kupata mafuta ya Chopper yako.Huo ndio...
Ina maana NEC hawajasoma hisabati za MAGAZIJUTO?
Lakini hili linawezekana kwa kuwa hata JK mwenyewe alikiri kuwa hapendi hisabati wa hesabu.
sasa sembuse Lewis Makame na Kravu?
Hi wandugu!
NInaomba mnijuze mwenzenu niko nyuma kidogo hasa kwa kuwa siku mbili hizi nilikuwa nje kabisaa ya mawasiliano ya aina yoyote ile.
naomba kufahamu idadi ya viti vya ubunge tulivyochukua hadi sasa, hapa namaanisha vya Chadema.
BINAFSI NINAOMBA FIGURES ZA HUKO KWA MAHANGA?
Tumeibiwa: Shinyanga mjini, Kibaha Mjini, Kilombero, na sasa Segerea?
Huyu Mungu kwa kuwa anaona kila linalofanyika, na kwakuwa tunasoma ktk maandiko yake kwamba mamlaka zooote zinatoka kwake, Basi yeye anajua yale yanayotusibu sisi tuliodhulumiwa...
Na siyo Mashs tu, kwani jana Rich-Mond alitia timu pale Arusha Municipal Council Hq offices ili kujaribu kununua jimbo la Arusha Mjini. Inasemekana alifika dau la 900Million Tshs ampe Mpambanaji Lema ili amwachie jimbo Batilda. Lema akawaita Ndes-pesa na Mbowe nao wakaja dili likawa siyo deal...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.