nafananisha hizo dalili na examination fever unaweza uka bukua au ukatoka na zero! Hivi nani amesha wahi ku espect kitu too much na ila dalili za kupata au kufanikiwa unaziona alafu mwisho wa siku unakosa unakutana na booonge la dissapointiment! ndio yanayo mkuta mr, hivi mvi soon...
kuna " monkey test " nashindwa kuielewa kabisaa antivirus ninayotumia inaniambia ni " trojan " nikijaribu kupambana nayo inaniambia ni force to stop app then ina repair badala ya ku uninstall! hii ipo vp wakuu
ungekuwa umetiwa ww dole ungempa hiyo adhabu na faini kiasi gani!? upopobawa huo! wazazi, watoto, ndugu, jamaa, marafiki, mabosi wenzako wote na wananchi wenzio wameshudia ulivyo fanyiwa upopobawa hadharani alafu unasema adhabu aliyopewa ni kubwa' naamini mbali na mpiga dole kutokucheza kama ni...
duh! hafai kabisa kuwa mchezaji! sheria ipo vipi kwa kosa kama hilo haswa baada ya adhabu ya TFF maana sioni kama inamtisha wala hajatendewa haki kwa kosa alilofanya halisemeki' watu alio wakosea wana familia wana ndugu wana majamaa na mabosi huoni kuwa ame wafedhehesha wenzake kiasi kisicho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.