Kwa kweli umeongea jambo jema kabisa hasa suala la umeme kama huku chanika mimi nina friji inanibidii niamke alfajiri sana na kuwasha friji. Ikifika saa tatu asubuhi inazima yenyewe kwani muda huo matumizi yanakuwa makubwa. Kwa maana wengi watakuwa tayari kazini wamewasha vyombo mbalimbali hivyo...
Mimi nimepewa fedha yangu toka Nssf tawi la waterfront bila shida yeyote. Nilipeleka form zangu za kujitoa nimekaa mwezi kisha nikaambiwa nikae mwezi nilipokwenda ni kapewa cheque bila shida. Sijatimiza hiyo miaka 55 nina 51yrs. Isipokuwa nilikuwa nafanyakazi chini ya ubalozi kwa kweli ya Mungu...
Mahakama za mwanzo ni kama mabaraza ya usuluhishi tuu naona hakuna sheria kabisa zinazofuatwa kwa kweli. Kesi inaweza kwisha kisha ikaanza tena hapo hapo hiyo ni sawa kweli.
Uchaguzi umekwisha na kuhesabu kura kumemalizika Trump 288 na Hilary 215. Trump ni Rais wa Marekani tayari. Wakae mkao wa kujiandaa viongozi wang''ang'anizingua wa Africa wasiotaka kuachia madaraka kirahisi.
Bwana nami ni mhanga wa jambo hili ni kweli nilipeleka barua ya kwisha kwa mkataba kazini. Nikaambiwa kwa sasa ninatakiwa kukaa miezi sita kisha ndo nitakwenda kufungua madai ya mafao yangu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.