Ndugu watanzania,
amani iwe kwenu,awali ya yote napenda kuwashukuru kwa uvumilivu wenu kwa kipindi chote hichi cha uchaguzi,sababu kuvumilia kwenu ndo msingi wa amani hii inayotamalaki sasa. Kuna msemo unasemaga "amani haiji kwa ncha ya upanga''
ndugu zangu tumeshampata kiongozi wetu wa nchi...
​UKAWA waongea na waandishi wa Habari leo, wajibu kauli za Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi, washangaa kwa nini daftari la kudumu haliwekwi hadharani mapemaWataka UKAWA pamoja na vyama vingine viruhusiwe kuhakiki Database ya Tume Makao makuu
Mnyika anafanya Press Conference kutokea Ngome ya...
king ndeshi10:36Today
watu ktoka kaskazini Mwa Tanzania wameamka kuliko namba kubwaya watanzania,hata maendeleo ya MTU mmoja mmoja yanaridhisha ukilinganisha na sehemu Nyingine, so kuichagua chadema ni sehemuya kujitambua kwa watu kutoka kaskazini,the rest of other dump tz inhabitants are just...
king ndeshi10:36Today
watu ktokakaskazini Mwa Tanzania wameamkakuliko namba kubwaya watanzania,hata maendeleoya MTU mmoja mmoja yanaridhishaukilinganishana sehemu Nyingine, so kuichaguachademani sehemuya kujitambuakwa watu kutoka kaskazini,the rest of other dumptz inhabitantsare justfilling the...
watu ktoka kaskazini Mwa Tanzania wameamka kuliko namba kubwa ya watanzania, hata maendeleo ya MTU mmoja mmoja yanaridhisha ukilinganisha na sehemu Nyingine, so kuichagua chadema ni sehemu ya kujitambua kwa watu kutoka kaskazini,the rest of other dump tz inhabitants are just filling the place...
Kama obama angekuwa anapita nje ya nyumba yngu nisingefungua hata pazia nichungulie
& kuna mbulula mmoja anasema watu wasije dar,shame on our 4bs leaders plus TBc
CCM bila tume ya uchaguzi,na polisi,hawawez kushinda hata uchaguz wao wandani wa chama,sembuse kawe.. ''TAHADHARI'' Hii statement Kwa goigoi ni puzzle,kwa werevu ni meaningful
Because is da place where natural resouces are given for free..so where else to go? Russia!? Kikwete is such a weak president, said hr Mnyika,a lot of credit to you bro.
HIVI INAKUWAJE MTANZANIA MWENYE MACHO YA KUONA HUU UTAWALA wa ccm WaLICHOWAFANYIA BIBI BABU KAKA DADA MAMA BABA ZETU,ALAFU ANAPOKEA BUKU SABA KUJA KUSHINDA MITANDAO YA KIJAMII KUTETEA UCHAFU WAO, KUMBUKA UKINUNULIWA IPO SIKU UTAUZWA. Hayo tu
Kazi ya wabunge kwa lugha rahisi ni kusimamia (kuibana) na kuishauri serikali, Kinyume kabisa na hali hiyo wabunge wengi 97% wa ccm wamekuwa wakitetea majibu ya serikali,wakati mwingine kupangua hoja zinazoibuliwa bungeni dhidi ya serikali kitu ambacho ni kazi ya mawaziri. Hii nchi itasonga...
Yesu amewafia nyie wafia dini leo mnamtakaa ipo cku mtamlilia na itakuwa mmechelewa sana,muda ndo huu,sababu za kipuuzi eti mungu akuzaa WATOTO WA MUNGU WANAZALIWA KATIKA ROHO,Sio mwili kama ulivyocremishwa, Hivi ni lini mtaruhusu akili zenu zisikilizane na roho zenu jamani. Mpokee yesu upate...
Yesu ni mwana wa mungu aliye hai,atakuja kuhukumu ulimwengu wote, amekufa kwa ajili ya wote na dhambi zao,anapenda kila mtu, mpokee upate msahama wa dhambi, kinyume na hapo una mungu. Jesus is the lord.
Yesu ni mwana wa mungu aliye hai,atakuja kuhumu ulimwengu wote, amekufa kwa ajili ya wote na dhambi zao,anapenda kila mtu, mpokee upate msahama wa dhambi, kinyume na hapo una mungu. Jesus is the lord.
Yesu atakuja kuhukumu wazima na wafu (wakristo na waislam alike) hakikisha hujawah kumkaa, ALIYE MKATAA MWANA AMEMKATAA BABA. May jesus open your heart and eyes! Amen
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.