Mkuu binafsi kuna kitu hii serikali inanishangaza sana tena sana ila basi tu
Moja tangu tuambiwe wagonjwa wako 11 Tanzania bara na 3 visiwani,huku bara hakuna updates zozote juu ya huu ugonjwa,ni muhimu sana wananchi wapate taarifa za maambukizi ni watu wangapi wako na covid 19 na ni...
I do wonder these Kenyans,they just prefer to imitate what is done by developed countries so as to win loans from those nations,with this stupidity quarantine they have copied from USA and Spain ,but those nations don't treat their citizens as Kenyans do.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera mkuu,Mimi kama ni laana alishanitamkia sana ,lakini cha kushanga nimekuwa mtu wa bahati sana na mambo yanarnda vizuri tu,ila kikubwa nimejiepusha kuwa naye karibu ,huwezi amini hata mwaka bupita bila kusalimiana kwenye simu ,in short I hate my mom,nafanya tu kwa sababu ni mzazi ,over
Mkuu hata kama utapewa milioni kama huna mipango huwezi ona manufaa yake,Kiufupi kwa mshahara huu ninaishi kwangu,Nina nyumba ya nyumba viwili na sebure na wala kazi yangu haiba malupulupu ni mipango tu ndugu yangu
Mkuu ingewezekana tungeenda wote,mama yangu ni very problematic sana,amashakataa kati,hataki na wala nisijihusishe na hiyo nyumba tena atajua mwenyewe chakufanya,mwanamke ni mwanamke tu mkuu,isitoshe amekuwa katika mazingira ya kulelewa na mama yake tu hivyo naona naye anakaudume ndani yake,kwa...
Mkuu hana la kuelewa huyu mama,maana ni mtu anayeishi kwa ushindani na kujionesha kwa watu ilikhali maisha yake ni magumu sana,Kiufupi anamatatizo japo na Mimi ninayo yakutokubali ushauri pale ninapoaminiko sahihi Iwensanto,
Nimeshajarbu kumshauri hataki mkuu,ukifika nyumbani kwake utadhani ni mahame au watu wanaoishi pale ni viwete,nyumba imechoka sana ,ila ukitaka kumsaidia maneno yanakuwa mengi,hadi huwa naona aibu hata kwenda kumsalimia,maana hata pa kufikia hapapo,nimejitahidi lakini Hanna,kwakweli mungu anitie...
Nimeshajarbu kumshauri hataki mkuu,ukifika nyumbani kwake utadhani ni mahame au watu wanaoishi pale ni viwete,nyumba imechoka sana ,ila ukitaka kumsaidia maneno yanakuwa mengi,hadi huwa naona aibu hata kwenda kumsalimia,maana hata pa kufikia hapapo,nimejitahidi lakini Hanna,kwakweli mungu anitie...
Mbao 250 mkuu ,error in typing,huwezi kwenda nae taratibu,nikili kuwa Mimi naye ni mtu wa misimamo sana kunibadilisha nilichonacho kichwani kwa hoja dhaifu huwa ni ngumu sana ,nadhani hapa ndo huwa natofautiana naye yellow eyes,
Habari sana ndugu wa jf? Natumaini hamjambo ,naomba niende kwenye hoja.
Mimi ni mtoto wa nne kuzaliwa katika familia ya watoto saba,mama na baba walitengana zamani sana hivyo kupelekea sisi kukulia kwa babu.Kiufupi katika watoto hao saba mwenye unafuu wa maisha ni Mimi lakini hawa ndugu zangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.