Hili linunda Barbarosa limeharibiwa mawazo na lichama lake CCM na mwenyekiti wao. Mnadhani shida ndio kipimo cha utu bora na sifa ya uadilifu. Yaan maccm ni kichefuchefu tuu
Una uhakika na haya makohozi yako?? Uliza kilichotokea na kinachoendelea kutokea kwa waliohusika. Si mlimtorosha yule mtuhumiwa pale mahakama kuu Arusha eti kwa sinema yenu feki ya kuwapokonya silaha askari?? Jaribu kuulizia kilochotokea. Na tena kwa taarifa yako tu, yule aliyechinjwa alikuwa...
Salaam wana JF,
Kwanza naungana na wa Tanzania wenzangu wote kumtakia afya njema na uimara ndugu Tundu Lissu huko Aga Khan, Nairobi Kenya, anakoendelea kupatiwa matibabu.
Pili, kwa hali jinsi ilivyo nchini sasa kufuatia tukio la kushambuliwa kwa Tundu, ni wazi kuwa kuna shauku kubwa sana ya...
Sawa. Ila uwe na uhakika kabisa kuwa vitu sio ishara tosha ya mafanikio ya mwanadamu (japo si vibaya kumiliki vitu). Amani na furaha ya moyo ndo kila kitu, regardless of your material possessions whatsoever.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.