Search results

  1. Mbase1970

    Kwanini Wanafunzi Wanaosoma Shule za Masista Wanawaona Masista Kama Makatili Sana Wasiofaa

    Naungana na wewe mimi nilisoma katika shule hizo pia. Form 1 tulianza 39 form 4 tulimaliza 19. Form six tulimaliza 7. Kama mfanya utafiti alikutana na watu kati ya ishirini walioishia njiani basi utapata negative response.
  2. Mbase1970

    Ilikuwa mwaka 1981

    Kaeibu na kwa Kijana wa siku nyingi na mzee Gama
  3. Mbase1970

    Mayalla Paschal bado unaamini kuwa Paulo Makonda bado ni Presidential material?

    Umeona anavyomtetea msukuma mwenzake. Jamaa hasafishiki kabisa. Alitumia madaraka yake madogo vibaya sana fikiria kama angekua rais
  4. Mbase1970

    Mbunge: Mimi niko bungeni muda mrefu lakini nakaa viti vya nyuma askofu Gwajima kaja juzi tu kapewa kiti cha kuangaliana na Spika!

    Hata mimi nafikiria hivyo maana ma veteran ndiyo hukaa nyuma na si mbele. Lile lilikua dongo na si malalamiko
  5. Mbase1970

    Mbunge: Mimi niko bungeni muda mrefu lakini nakaa viti vya nyuma askofu Gwajima kaja juzi tu kapewa kiti cha kuangaliana na Spika!

    Kama kuna mbunge kasema hivyo basi ama ni mjinga au hajui nini maana ya back Bencher. Wabunge wanaokaaga nyuma ni ma veteran na wanakuaga hawachagui kama wapo upinzani ama la inakuaga lazima kuwa treat with care kwenye mabunge ya maana
  6. Mbase1970

    A salary may stop tomorrow

    A SALARY MAY STOP TOMORROW. Robert Mugabe's Said. "When your salary comes in time, you eat chicken. As the salary reduces you eat products of Chicken (Eggs) and subsequently, you begin to eat chicken's foods like maize and millet. Finally, when salary is finished, you become chicken...
  7. Mbase1970

    Fahamu asili ya jina la Kitimoto

    Ndiye huyuhuyu likua Produced na Masai studio na kurushwa na DTV baadae ITV wakaanzisha Malumbano ya Hoja mtangazaji marehemu Adam Lusekelo nanJulius Nyaisanga nadhani
  8. Mbase1970

    Tanzanian Officials are Airlifted to Kenya for treatment

    Mungu oyeeeee walisema. Ukiona nchi inachanganya siasa na dini ujue mambo yamewashinda. Wanatumia dini ku gain cheap popularity sababu dini ni kitu cha kwanza kuondoa ama kupumbaza akili za mwanadamu. Kama mtu anarubuniwa na kutoa fungu la kumi kwa mtu ambaye hajawahi kumuona ujue kitu chochote...
  9. Mbase1970

    Uchaguzi 2020 Marekani: Kuanzia leo, tunaweka vizuizi kwa waliohusika na kuvuruga Uchaguzi nchini Tanzania

    Ulichokiandika una uhakika nacho? Trump kesi yake ipo senate na lazima safari atapatikana na hatia. Halafu Attorney General wa DC anamchunguza kuhusu kesi nyingi na hiyo ya uchochezi sasa ihvi muda usiozidi saa moja na nusu atakua raia wa kawaida subiri utitiri wa kesi
  10. Mbase1970

    Uchaguzi 2020 Marekani: Kuanzia leo, tunaweka vizuizi kwa waliohusika na kuvuruga Uchaguzi nchini Tanzania

    https://www-newsy-com.cdn.ampproject.org/v/s/www.newsy.com/amp/stories/mike-pompeo-s-wife-accused-of-misusing-taxpayer-resources/?amp_js_v=a6&amp_gsa=1&usqp=mq331AQHKAFQArABIA%3D%3D#aoh=16111563942347&referrer=https%3A%2F%2Fwww.google.com&amp_tf=From%20%251%24s&ampshare=https%3A%2F%2Fwww.newsy.co...
  11. Mbase1970

    Uchaguzi 2020 Marekani: Kuanzia leo, tunaweka vizuizi kwa waliohusika na kuvuruga Uchaguzi nchini Tanzania

    Biden is going to rescind a lot of Trump's executive orders starting today. American politics are new to you m8e https://www.ft.com/content/13954a39-bd8c-4ea3-b9ad-72492176ae02 Pompeo is just a Lame duck
  12. Mbase1970

    Uchaguzi 2020 Marekani: Kuanzia leo, tunaweka vizuizi kwa waliohusika na kuvuruga Uchaguzi nchini Tanzania

    https://www-independent-co-uk.cdn.ampproject.org/v/s/www.independent.co.uk/news/world/americas/us-politics/mike-pompeo-europe-trip-cancelled-b1786254.html?amp_js_v=a6&amp_gsa=1&amp&usqp=mq331AQHKAFQArABIA%3D%3D#aoh=16111557632761&referrer=https%3A%2F%2Fwww.google.com&amp_tf=From%20%251%24s&ampsha...
  13. Mbase1970

    Uchaguzi 2020 Marekani: Kuanzia leo, tunaweka vizuizi kwa waliohusika na kuvuruga Uchaguzi nchini Tanzania

    Yeye sasa hivi hana lololote kawa kama gari bovu. Leo ni serikali ya Biden. Pompeo huenda akachezea jela na yeye
  14. Mbase1970

    Uchaguzi 2020 Marekani: Kuanzia leo, tunaweka vizuizi kwa waliohusika na kuvuruga Uchaguzi nchini Tanzania

    Huyo hayupo tena sasa hivi hana kazi hata Umoja wa Ulaya hawakutaka kuonana naye wiki iliyopita.
  15. Mbase1970

    Moshi: International School of UWCEA yasitisha masomo Baada ya Wanafunzi 2 kupatwa na Corona

    Litakosekanaje? Hao wageni wanaoingia holela kutoka nchi zenye hilo gonjwa kama US na UK
  16. Mbase1970

    Moshi: International School of UWCEA yasitisha masomo Baada ya Wanafunzi 2 kupatwa na Corona

    Umeshindwa kumalizia kwa kiingereza hilo neno ngoja tuone tukusaidie?😅😅😅😅
  17. Mbase1970

    Elections 2015 Rais Jakaya Kiwete ashitakiwa Mahakama ya Kimataifa ya ICC

    Ndiyo tunasubiri majibu kutoka kwa kina Skyclat na wenzake
  18. Mbase1970

    Nani anasema Lissu anaichafua nchi?

    C-SPAN labda ni ya Tanzania
  19. Mbase1970

    Tundu Lissu: CHADEMA haina mamlaka kisheria kufungua kesi ICC kuhusiana na Uchaguzi 2020

    Alishamaliza kulihutubia security council. Jamaa anawafanya kmaa wehu vile. Zamani sikulioenda neno nyumbu kulitumia sasa naamini linawafaa
Back
Top Bottom