Naungana na wewe mimi nilisoma katika shule hizo pia. Form 1 tulianza 39 form 4 tulimaliza 19. Form six tulimaliza 7. Kama mfanya utafiti alikutana na watu kati ya ishirini walioishia njiani basi utapata negative response.
Kama kuna mbunge kasema hivyo basi ama ni mjinga au hajui nini maana ya back Bencher. Wabunge wanaokaaga nyuma ni ma veteran na wanakuaga hawachagui kama wapo upinzani ama la inakuaga lazima kuwa treat with care kwenye mabunge ya maana
A SALARY MAY STOP TOMORROW.
Robert Mugabe's Said.
"When your salary comes in time, you eat chicken. As the salary reduces you eat products of Chicken (Eggs) and subsequently, you begin to eat chicken's foods like maize and millet.
Finally, when salary is finished, you become chicken...
Ndiye huyuhuyu likua Produced na Masai studio na kurushwa na DTV baadae ITV wakaanzisha Malumbano ya Hoja mtangazaji marehemu Adam Lusekelo nanJulius Nyaisanga nadhani
Mungu oyeeeee walisema. Ukiona nchi inachanganya siasa na dini ujue mambo yamewashinda. Wanatumia dini ku gain cheap popularity sababu dini ni kitu cha kwanza kuondoa ama kupumbaza akili za mwanadamu. Kama mtu anarubuniwa na kutoa fungu la kumi kwa mtu ambaye hajawahi kumuona ujue kitu chochote...
Ulichokiandika una uhakika nacho? Trump kesi yake ipo senate na lazima safari atapatikana na hatia. Halafu Attorney General wa DC anamchunguza kuhusu kesi nyingi na hiyo ya uchochezi sasa ihvi muda usiozidi saa moja na nusu atakua raia wa kawaida subiri utitiri wa kesi
Biden is going to rescind a lot of Trump's executive orders starting today. American politics are new to you m8e
https://www.ft.com/content/13954a39-bd8c-4ea3-b9ad-72492176ae02
Pompeo is just a Lame duck
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.