Kwa wabunge wetu.Jamani wanapoiandaa hiyo katiba mpya mimi naomba ishu ya 'RAIS AMBAYE YUPO MADARAKANI KATIKA KIPINDI HUSIKA'.
Iwepo sheria inayomuondoa madarakani pindi za uchaguzi na kuliachia kazi jeshi lisimamie nchi.Ili naye aonekane kama mgombea wa kawaida.
Tazama nchi za wenzetu tatizo...
Hivi sasa ni heri kuishi bila kuwa na vyombo vya usafiri kama vile magari n.k,hapo mwanzo walikuwa wakilipia parking kwa siku na kiwango kikitegemea aina ya gari.Lakini sasa imetangazwa kwamba michango hiyo ya parking ni kwa saa.Je, tunaelekea wapi? Naombeni mnielimishe mwezenu.
Waziri wa mawasiliano sayansi na technolojia prof.Makame Mnyaa leo hii alikuwa Mbeya katika Taasisi ya Sayansi naTecknolojia Mbeya kwenye mahafali ya 5.Ameweza kuwatunukia wahitimu zaidi ya 200 vyeti vya stashahada.Na pia amewatunuku wanafunzi 8 waliofanya vizuri zawadi mbalimbali.Pamoja na hayo...
Ndugu zangu nisaidieni kama kuna ipo.Mimi nasoma chuo cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MIST),mwaka wa pili diploma, idara ya Umeme na Electronics.Nisaidieni jamani likizo ya mwezi wa 12.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.