Ni kweli Mbatia anapewa airtime kwa ajili ya kumchafua Slaa, si umesikia juzi kati alivyokuwa ana rap kuhusu fidia kwamba chama chake kwamba kimeitwa NCCR MANUNUZI, hizo ndio tactics ambazo CCM inaona zitasaidia kuchoropoka kwenye kitanzi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.