Naomba namba mkuu, udhamini upo kama utakuwa na wasiwasi. Kuna biashara ya mazao, unapiga pesa hatari, pia nina wazo zuri milioni 5 ndani ya miezi 4 unapata milioni 22 wastani wa chini.
Kama unatoa mkataba wa pikipiki na omba na mimi unisaidie, mdhamini yupo anafanya kazi serikalini.pia nina kiwanja pwani mkuranga nitakiweka dhamana.nisaidie ndugu
Mkuu kama unatoa mkataba wa pikipiki na mimi nahitaji,kuna mtu atanidhamini.anafanya kazi serikalini.pia nina kiwanja pwani mkuranga nitakiweka dhamana.
Habari wakuu, nahitaji msaada wa kupata pikipiki ya mkataba, mpya au used haina shida.ninamzamini wa kuniwekea mdhamana. Ni mfanyakazi wa serikali.pia nina kiwanja pwani cha samani ya Laki 6.mkuranga pwani.uaminifu ni mkubwa sana.
Viwanja vinapatikana mkoa wa pwani wilaya ya mkuranga.ni kabla hujafika mkuranga.viwanja vimepimwa,hati unapata Km 5 njia ya mbande chamazi kutoka lami ya kitonga,pia km 10 kutoka njia ya kisemvule.Karibu sana ndugu,umeme upo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.