hiii sinema imeanza. sasa wacha tutulie tuone nn kinaendelea. huwezi jua huenda huyu jamaa anaerusha kung fu kwa sasa na kuonekana stering kumbe adui.
wacha tuangalie hadi mwisho
mtendee haki jamani huyu kiumbe wa mungu, mengi ulioyasema ni uongo wa wazi.
juzi tumemuona akihenyeka kule mwanza. na hao wengine wala hawajapita. huwezi jua pengine ndivyo walivyopanga
kuweni simple na jiulizeni jee amevunja katiba ya chama chake ? na kama hajavunja kuna kosa gani ?
kosa la CUF ni pale walipofinya demokrasia na kuamini katibu lazima awe maalim Seif na mwenyekiti awe Lipumba na yoyote anaezungumzia kuhusu hayo basi anapaswa kulaaniwa
nilidhani mambo kwa chadema yatakuwa tofauti. kumbe ni yale yale
Chadema kila kikiendelea kinatutisha, kinatufanya tufikiri mara mbili kuwa chama hiki kinaweza kushika mamlaka na nchi kuwa kwenye amani
chadema kimekuwa ni chama kinachopingana na misingi ya uwazi na demokrasia, nnashangaa sana kuona chama mabacho niliamini kuwa huenda kitatuvusha hapa...
nimesoma kwa utulivu sana hii habari
kwa kweli niliaminishwa kuwa ww mheshimiwa mchafu sana, mzinzi tena umekula mke wa swahiba yako wa karibu, wengi walikuja na kuleta hizo habari.
baada ya kusoma utetezi wako kwa hili nimeamini kuwa hakukuwa na ukweli juu ya hili, pole sana kwa kuumizwa ww...
nimesoma makala vizuri, kuna mengi mheshimiwa ameyaandika,
hili la kuzungumza jinzi akina J J Mnyika na Mdee kwenye chadema, ina lengo la kuwajenga ? au ndio kuwabomoa. watu waone kuwa kumbe ni watu walioingia chadema kwa kusit sita, kwa hio ni maopportunist.
mheshimiwa sidhani kama ni sawa...
Waziri Mkuu amchague awe Dr Slaa na waziri wa Fedha ampe Zitto na waziri wa michezo na starehe ampe Mbowe
aunde serikali ya mseto kama kule zanzibar mambo yataenda vyema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.